Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa Karagwe (CCM) Mh Inocent Bashungwa ameomba uwanja wa Kayanga mjini Karagwe ujengwe kama kumbukumbu ya kitendo cha mgombea Urais kupiga push up jukwaani

Akijibu ombi hilo waziri anayehusika na Habari, michezo, utamaduni na sanaa Nape amesema mchakato wa kuenzi kumbukumbu hiyo unaweza kuanza maana kitendo kile kilionyesha ni jinsi gani mgombea wao angetengeneza serikali ya kazi tu na kwamba mgombe mwingine ingekuwa kazi kwake kufanya hivyo.
Wabunge wa Cha tawala sijui wanatumia nini kufikiria na kuchanganua mambo maana katika masuala ya kishenzi shenzi wanaunga mkono sana lakini katika ishu nyeti unakuta wamezubaa tu hata kuunga mkono hawataki....so sad!! Maana nashindwa kuelewa kama ni uoga au nini?

Hili suala la kuweka sijui ukumbusho wa push ups utasaidia nini wananchi? Sijui wanaipeleka wapi nchi yangu Tanzania.
 
Itabidi ipitishwe sheria kuwa mbunge akitoa hoja za kipuuzi kama hizi basi anakatwa posho anayopokea kwa siku hiyo, na tabia ikijirudia zaidi inabidi afungiwe vikao vya kutosha kama wale kina Zito et al. labda wabunge watakuwa makini zaidi wanapofungua vinywa vyao.

Heri ukae kinywa watu walete tetesi kuwa wewe ni mjinga kuliko kufungua kinywa na kuhakiki kile kilichokuwa ni tetesi.
Mbunge gani? nape au Huyo mtoa hoja?
 
Itabidi ipitishwe sheria kuwa mbunge akitoa hoja za kipuuzi kama hizi basi anakatwa posho anayopokea kwa siku hiyo, na tabia ikijirudia zaidi inabidi afungiwe vikao vya kutosha kama wale kina Zito et al. labda wabunge watakuwa makini zaidi wanapofungua vinywa vyao.

Heri ukae kinywa watu walete tetesi kuwa wewe ni mjinga kuliko kufungua kinywa na kuhakiki kile kilichokuwa ni tetesi.
Hiyo sheria itapigiwa kura za HAPANAAAAAAAAAAAAAAAA si unajua walivyo jazana mjengoni?
 
Yaani nilimwona kwenye kipindi cha maswali na majibu nusra nizimie kwa swali la kipuuzi kama lile.Hivi nikajiuliza kipaumbele cha watu wa karagwe ni kujengewa kumbukumbu ya push up tu?
 
Hoja za kuwekwa kumbukumbu pale Rais wenu mpendwa alipopiga show ni hoja ya chama chako cha mwendokasi,Mh.Lowassa ameingiaje hapa? Au ndiyo unadhihirisha namna ulivyo na IQ ndogo kuliko viumbe wote waliopo chini ya jua?
 
Yaani nilimwona kwenye kipindi cha maswali na majibu nusra nizimie kwa swali la kipuuzi kama lile.Hivi nikajiuliza kipaumbele cha watu wa karagwe ni kujengewa kumbukumbu ya push up tu?
hivi miteru wenzie hawakumpigia makofi kweli?
 
Sasa hao ndo vilaza siyo wale wanafunzi wa UDOM. Mbunge pamoja na waziri wake wote ni bila bila hakuna aliyeona lango
 
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa Karagwe (CCM) Mh Inocent Bashungwa ameomba uwanja wa Kayanga mjini Karagwe ujengwe kama kumbukumbu ya kitendo cha mgombea Urais kupiga push up jukwaani

Akijibu ombi hilo waziri anayehusika na Habari, michezo, utamaduni na sanaa Nape amesema mchakato wa kuenzi kumbukumbu hiyo unaweza kuanza maana kitendo kile kilionyesha ni jinsi gani mgombea wao angetengeneza serikali ya kazi tu na kwamba mgombe mwingine ingekuwa kazi kwake kufanya hivyo.
Kazi ipo. ..kwahiyo hiyo ndio changamoto kuu ya wana karagwe?
 
kwani zile push up zimewasidia nini watanzania.
Au huyo mbunge atakuwa na akili za ajabu
 
Back
Top Bottom