Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Kweli kweli CCM zile Push Up zina tija Kwa watanzania? Kama ndio mbona haziendelei Kwa Mawaziri Na wabunge wa CCM?
 
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa Karagwe (CCM) Mh Inocent Bashungwa ameomba uwanja wa Kayanga mjini Karagwe ujengwe kama kumbukumbu ya kitendo cha mgombea Urais kupiga push up jukwaani

Akijibu ombi hilo waziri anayehusika na Habari, michezo, utamaduni na sanaa Nape amesema mchakato wa kuenzi kumbukumbu hiyo unaweza kuanza maana kitendo kile kilionyesha ni jinsi gani mgombea wao angetengeneza serikali ya kazi tu na kwamba mgombe mwingine ingekuwa kazi kwake kufanya hivyo.
Karagwe wanaongozwa na Mbunge HEWA nahisi atakuwa wale wa UDOM waliofukuzwa na prezdar [emoji85] [emoji85]
 
Hawa wabunge akili zao huwa sijui zinafanyeje kazi...
Ndo maana wameondoa matangazo live ya bunge ili watu wasione upuuzi wao kumbe wanapobaki wabunge wa CCM peke yao bungeni yani kinachoendelea ni pumba tupu
 
Najua Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, @Kigwangwala na Tibaijuka ni member hapa JF, kwa nini hawawaambi wabunge wao wanaonekanaje na jamii au hata kuwaonyesha wanavyojadiliwa?
Au na wao ndio walewale?
Mimi muuliza swali wala hajanishangaza, aliyenishangaza ni waziri aliyejibu, kwa uelewa wangu mdogo sifa ya ubunge ni kujua kusoma na kuandika, kwa hiyo mbunge akiongea pumba sishtuki sana, ila najua sifa ya uwaziri ni zaidi ya kujua kusoma na kuandika, sasa waziri akijibu pumba ndo hapo nashangaa sana.
 
Dah hata kichaa asingefanya hivyo kweli mtu mzima hiyo ni hoja bungeni? Kuwa ccm lazima uwe na njia nyingine ya kufikiri tofauti na kutumia kichwa. Dah sijui wananchi wa karagwe wanajiskiaje? Huyu ndo aliyevaa viatu vya blandes??? Kumbe ndo maana walipigania kwa nguvu zote bunge live litolewe? Sasa mbunge huyu wanae wangeona si majanga? Hapa kazi tu
 
Hili halimaniishi ccm hiyo akili ni ya mbunge mwenyewe mengine ccm tunaisingizia tu.
Kesho huyu mbunge atasema linapopakiwa gari la rais huko chato pajengwe jumba la kumbukumbu
Mkuu wapunguzie lawama maana tumeshaambiwa kua mbunge wa ccm hasemi jambo bila kuruhusiwa na kitengo cha lumumba
 
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa Karagwe (CCM) Mh Inocent Bashungwa ameomba uwanja wa Kayanga mjini Karagwe ujengwe kama kumbukumbu ya kitendo cha mgombea Urais kupiga push up jukwaani

Akijibu ombi hilo waziri anayehusika na Habari, michezo, utamaduni na sanaa Nape amesema mchakato wa kuenzi kumbukumbu hiyo unaweza kuanza maana kitendo kile kilionyesha ni jinsi gani mgombea wao angetengeneza serikali ya kazi tu na kwamba mgombe mwingine ingekuwa kazi kwake kufanya hivyo.



Push up ndo nini
 
Hichi ndicho kinachoweza kutokea pale kinyesi kinapokuwa sehemu ya ubongo!
 
Hasara kubwa kwa wanakaragwe poleni sana mbunge huyu huyu ndiye alisema bungeni kuwa wananchi ea karagwe wakioa wanawake wazuri wanachukuliwa na wanajeshi huko kijiji cha bweranyange udhalilishaji uliokithiri kws wspiga kura wake sanbamba na jeshi letu la wananchi,kama huna point bora kukaa kimya hakuna wa kukunyanganya ubunge.
 
Kwa hoja za aina hii ndo tunaweza kuona umuhimu wa uwepo wa wabunge wa upinzani bungeni Angalau wangesababisha muuliza swali akaona aibu
 
Sasa nimeanza kupata majibu ya kwanini magufuli mwaka jana alikuwa na wakati mgumu na ilimchukua muda mrefu sana kwenye kutafuta na kuteua mawaziri wake...
Kumbe wabunge wengi aliokuwa akiwatizama ni ma-zero brains na ndo maana ikambidi kuteua wabunge wake wengine wapya na kuwapa uwaziri..
 
Back
Top Bottom