Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

mnataka nn au mabadiliko wanaume tuzae [emoji1][emoji1][emoji1] nmemic mkapa
 
Huyu Bashungwa hua anajiskia sana, anapenda sifa na umaarufu labda anafkiri JPM anaweza kumchagua / kumpatia uwaziri
Lakin shida inakuja pale mbunge wa jimbo masikini sana Kama Karagwe anapokua tozi, ameishi nje ya nchi, anaishi Kama nusu peponi huko nyumbani kwake mbweni na karagwe anakwenda tu kikazi
Wana Karagwe msimu unaofuata mtafute mbunge anaetokea hapo Karagwe labda atasaidia kuwasilisha matatizo yenu inavyopaswa hawa wanaokuja kutafutia utajiri kwa migongo ya wananchi masikini tuwachane nao
Matatizo ya Karagwe ni mengi sana ukianza kutaja hapa huwezi kumaliza na wala huwezi sikia huyo Bashungwa akiyataja bungeni
TUAMKE
 
mnataka nn au mabadiliko wanaume tuzae [emoji1][emoji1][emoji1] nmemic mkapa
Mwingine jana alichangia zaidi ya dk 5 anamsifia mke wake kwa kazi kubwa anayolifanyia taifa kwa kuzaa mtoto wa kike!
 
ama kweli kuna hoja bungeni. Tanazania ina mambo muhimu mengi mno kujadiliwa ikisha bunge linappata fursa ya kujadili kitu kama hiki !!!
 
Mwingine jana alichangia zaidi ya dk 5 anamsifia mke wake kwa kazi kubwa anayolifanyia taifa kwa kuzaa mtoto wa kike!

Tatzo wanajua hatuna cha kuwafanya ***** zao alfu serikali inakomaa tulipe kodi mabogaz kama hyo ndo yana kula kod zetu
 
...tusiwasemee watu wa Karagwe. Innocent Bashungwa ndiye mbunge wao anayewasemea. Tuwaache wanyambo watasema kuonesha hisia zao za kuunga mkono au kupinga hoja ya Innocent (MB).
 
Back
Top Bottom