..mpango mahsusi wa kuibambika chadema, yaani maccm mipango yao mwyepesiiii kubainika...Subirini vijana wa Lumumba watasema ni Chadema hao
Safi sana.... Kwa nini hawakumng'oa meno hao jamaa wanastahiri zawadi..
Huyu Mbunge ni mbishi ana kiburi cha kujifanya anajua na ujuaji. Kujiamini sana hadi uswazi ni noma wengine hawakutambui. Tena bahati hawakujua wewe ni mbunge ungepigwa sana maana ubunge wenu mmeufanya ni sehemu ya kuhalalisha dhuluma dhidi ya wananchi.
Hii ni kazi ya CCM kwa msaada wa vyombo vya dola!