Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima acha Unafiki tafadhali. Hizi Sifa unazompa Rais Samia kuhusu Royal Tour yake ni za Kumsanifu na Kumdharau pia

Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima acha Unafiki tafadhali. Hizi Sifa unazompa Rais Samia kuhusu Royal Tour yake ni za Kumsanifu na Kumdharau pia

Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Mathias Gwajima hujawahi na wala humpendi mpaka hukupenda Rais Samia kuwa Kiongozi hivi leo isipokuwa unachokifanya sasa ni kumpaka tu Mafuta Mama wa Watu kwa Mgongo wa Chupa na bahati nzuri hata Yeye ameshakushtukia na anasubiri ujae vizuri amalize Shughuli ndani ya Kamati ya Maadili na CC ya CCM.

Gwajima wadanganye wale Wapuuzi wako kadhaa uliowateka Akili zao mbovu na wanakuamini ila kamwe siyo kwa Sisi wengine ambao tunayajua yako angalau kwa 75% tu na yanatutosha na leo tunaanza Kufunguka taratibu juu ya tabia zako za Unafiki, Dharau, Sanifu na Ubaguzi wa Kidini.

Askofu Gwajima hivi siyo Wewe wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli ( Poti wako na aliyekuweka hapo Kawe kuwa Mbunge ) ulikuwa ukienda Kuzungumza nae Mambo yenu ulikuwa ukimsihi asimshirikishe Makamu wake ( Samia Suluhu Hassan Kipindi hicho ) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Uislamu wao?

Mimi Mightier ni Mkristo tena Mkatoliki kabisa ila kama kuna Kiongozi wa Dini ( hasa wa haya Madhehebu ya Kiroho na Kilokole ) ambaye kupitia Watu wake wa karibu nimeambiwa ni Mbaguzi na hawapendi Waislamu ni Wewe Askofu Jossphat Mathias Gwajima.

Na Ushahidi wa hili upo kupitia ile Kauli yako ambayo Watu wa CHADEMA walikuwa wakiirudia mno katika Kampeni za mwaka jana. Na Kauli ile ilikumaliza sana tu isipokuwa kwakuwa Ndugu yako ( Poti Hayati) alishaamua uwe Mbunge iwe Jua au Mvua ukawa kwa Mabavu ya NEC na si ya wana Kawe.

Maelezo yako yote uliyoyatoa leo pamoja na Sifa dhidi ya President Samia's Royal Tour yake yamejaa Unafiki mtupu na kwa Wabobezi wa Saikolojia kama Mightier leo Body Language yako ilikuwa haiendani na uliyokuwa ukiyasema.

Wenye Akili Kubwa kukuzidi Askofu Jossphat Mathias Gwajima ( japo huwa unajitapa una Akili sana ) tumejua kuwa leo umemsifia mno Mama ( Rais Samia Suluhu Hassan ) kwakuwa unajua kuna Hukumu yako ndani ya Chama Tawala ( CCM ) dhidi yako inakusubiri na Yeye kama Mwenyekiti wako ndiyo mpiga Rungu Mkuu wa Adhabu Kali inayokustahili.

Rais Samia Suluhu Hassan nawe namalizia kwa Kukuambia kuwa kama kuna Mtu ambaye hakupendi na hajapenda Urais wako na hata akiwa na Marafiki zake Wanafiki na Magaidi ndani ya Chama Tawala ( CCM ) basi Mwandamizi ( Kiongozi ) wao nj huyu Mbunge wa Kawe Askofu Jossphat Gwajima.

Tena nakusihi kuwa nae makini kuliko unavyodhania ni Nyoka mwenye Sumu Kali ambaye alilelewa vyema na Mtangulizi wako ( sasa Hayati ) ili aje Kuwangata vibaya Watanzania ila kwa sasa anataka kuanza Kukungata Wewe Kwanza ila bado anakitafuta Kisigino chako hajabahatika kukipata kwakuwa nawe hutulii sehemu moja mara Unguja mara Dar es Salaam na mara Dodoma.

Askofu Gwajima ANGUKO LAKO laja.
Kwa akili za matope wanafikiri Gwajima anaogopa maamuzi ya chama.
Kasikilize clip zake alishasema hamuogopi mtu yeyote,Yuko tayari kwa maamuzi yoyote na hataomba msamaha.Wewe unapoteza muda.

Huyohuyo Samia unayemsema ndo alisikiliza ombi la Gwajima kujengewa shule Kawe kamuzuie Basi.
Kwa akili zako unafikiri rais anaushawishi mkubwa nchini hata akitengeneza maadui atatoboa.
Kuwashawishi tu watu kuchanjwa imekuwa ngumu watu wanapinga hadharani hawachanjwi.

Ulitaka Gwajima apinge Kila kitu? roho mbaya yako ya kumchukia Gwajima haitakusaidia.
 
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Mathias Gwajima hujawahi na wala humpendi mpaka hukupenda Rais Samia kuwa Kiongozi hivi leo isipokuwa unachokifanya sasa ni kumpaka tu Mafuta Mama wa Watu kwa Mgongo wa Chupa na bahati nzuri hata Yeye ameshakushtukia na anasubiri ujae vizuri amalize Shughuli ndani ya Kamati ya Maadili na CC ya CCM.

Gwajima wadanganye wale Wapuuzi wako kadhaa uliowateka Akili zao mbovu na wanakuamini ila kamwe siyo kwa Sisi wengine ambao tunayajua yako angalau kwa 75% tu na yanatutosha na leo tunaanza Kufunguka taratibu juu ya tabia zako za Unafiki, Dharau, Sanifu na Ubaguzi wa Kidini.

Askofu Gwajima hivi siyo Wewe wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli ( Poti wako na aliyekuweka hapo Kawe kuwa Mbunge ) ulikuwa ukienda Kuzungumza nae Mambo yenu ulikuwa ukimsihi asimshirikishe Makamu wake ( Samia Suluhu Hassan Kipindi hicho ) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Uislamu wao?

Mimi Mightier ni Mkristo tena Mkatoliki kabisa ila kama kuna Kiongozi wa Dini ( hasa wa haya Madhehebu ya Kiroho na Kilokole ) ambaye kupitia Watu wake wa karibu nimeambiwa ni Mbaguzi na hawapendi Waislamu ni Wewe Askofu Jossphat Mathias Gwajima.

Na Ushahidi wa hili upo kupitia ile Kauli yako ambayo Watu wa CHADEMA walikuwa wakiirudia mno katika Kampeni za mwaka jana. Na Kauli ile ilikumaliza sana tu isipokuwa kwakuwa Ndugu yako ( Poti Hayati) alishaamua uwe Mbunge iwe Jua au Mvua ukawa kwa Mabavu ya NEC na si ya wana Kawe.

Maelezo yako yote uliyoyatoa leo pamoja na Sifa dhidi ya President Samia's Royal Tour yake yamejaa Unafiki mtupu na kwa Wabobezi wa Saikolojia kama Mightier leo Body Language yako ilikuwa haiendani na uliyokuwa ukiyasema.

Wenye Akili Kubwa kukuzidi Askofu Jossphat Mathias Gwajima ( japo huwa unajitapa una Akili sana ) tumejua kuwa leo umemsifia mno Mama ( Rais Samia Suluhu Hassan ) kwakuwa unajua kuna Hukumu yako ndani ya Chama Tawala ( CCM ) dhidi yako inakusubiri na Yeye kama Mwenyekiti wako ndiyo mpiga Rungu Mkuu wa Adhabu Kali inayokustahili.

Rais Samia Suluhu Hassan nawe namalizia kwa Kukuambia kuwa kama kuna Mtu ambaye hakupendi na hajapenda Urais wako na hata akiwa na Marafiki zake Wanafiki na Magaidi ndani ya Chama Tawala ( CCM ) basi Mwandamizi ( Kiongozi ) wao nj huyu Mbunge wa Kawe Askofu Jossphat Gwajima.

Tena nakusihi kuwa nae makini kuliko unavyodhania ni Nyoka mwenye Sumu Kali ambaye alilelewa vyema na Mtangulizi wako ( sasa Hayati ) ili aje Kuwangata vibaya Watanzania ila kwa sasa anataka kuanza Kukungata Wewe Kwanza ila bado anakitafuta Kisigino chako hajabahatika kukipata kwakuwa nawe hutulii sehemu moja mara Unguja mara Dar es Salaam na mara Dodoma.

Askofu Gwajima ANGUKO LAKO laja.
Wajinga ninyi.
Nyie ndio mlikuwa mnaambiwa kuacha mavi yenu nyumbani.
 
Kula like kama 1000 hivi, watu wanaamini kumchonganisha Samia na Gwajima ni kuiparaganisha CCM, and wengine kwa sababu ni wambea na wachonga ngenga wanatafuta headline itayowafanya wabwatuke mitandaoni mwezi mzima!! Samia siyo wa kihivyo, angekuwa wa kihivyo kelele zilizopigwa kuhusu Mbowe leo Mbowe angekuwa nje, ila Mother katulia kimya anaacha sheria ifuate mkondo wake, yeye anachapa kazi tu. And wasichojua watu ni kwamba the way anadeal na Gwajima anaaiunganisha zaidi CCM kwa kulivuta kundi la Bwana yule ambalo lilichukizwa sana na "blunder ya Sabaya".
Wanazi wa Samia ndani ya chama hawataki kukileta chama pamoja,wanataka wafaidi wao tu.
 
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Mathias Gwajima hujawahi na wala humpendi mpaka hukupenda Rais Samia kuwa Kiongozi hivi leo isipokuwa unachokifanya sasa ni kumpaka tu Mafuta Mama wa Watu kwa Mgongo wa Chupa na bahati nzuri hata Yeye ameshakushtukia na anasubiri ujae vizuri amalize Shughuli ndani ya Kamati ya Maadili na CC ya CCM.

Gwajima wadanganye wale Wapuuzi wako kadhaa uliowateka Akili zao mbovu na wanakuamini ila kamwe siyo kwa Sisi wengine ambao tunayajua yako angalau kwa 75% tu na yanatutosha na leo tunaanza Kufunguka taratibu juu ya tabia zako za Unafiki, Dharau, Sanifu na Ubaguzi wa Kidini.

Askofu Gwajima hivi siyo Wewe wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli ( Poti wako na aliyekuweka hapo Kawe kuwa Mbunge ) ulikuwa ukienda Kuzungumza nae Mambo yenu ulikuwa ukimsihi asimshirikishe Makamu wake ( Samia Suluhu Hassan Kipindi hicho ) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Uislamu wao?

Mimi Mightier ni Mkristo tena Mkatoliki kabisa ila kama kuna Kiongozi wa Dini ( hasa wa haya Madhehebu ya Kiroho na Kilokole ) ambaye kupitia Watu wake wa karibu nimeambiwa ni Mbaguzi na hawapendi Waislamu ni Wewe Askofu Jossphat Mathias Gwajima.

Na Ushahidi wa hili upo kupitia ile Kauli yako ambayo Watu wa CHADEMA walikuwa wakiirudia mno katika Kampeni za mwaka jana. Na Kauli ile ilikumaliza sana tu isipokuwa kwakuwa Ndugu yako ( Poti Hayati) alishaamua uwe Mbunge iwe Jua au Mvua ukawa kwa Mabavu ya NEC na si ya wana Kawe.

Maelezo yako yote uliyoyatoa leo pamoja na Sifa dhidi ya President Samia's Royal Tour yake yamejaa Unafiki mtupu na kwa Wabobezi wa Saikolojia kama Mightier leo Body Language yako ilikuwa haiendani na uliyokuwa ukiyasema.

Wenye Akili Kubwa kukuzidi Askofu Jossphat Mathias Gwajima ( japo huwa unajitapa una Akili sana ) tumejua kuwa leo umemsifia mno Mama ( Rais Samia Suluhu Hassan ) kwakuwa unajua kuna Hukumu yako ndani ya Chama Tawala ( CCM ) dhidi yako inakusubiri na Yeye kama Mwenyekiti wako ndiyo mpiga Rungu Mkuu wa Adhabu Kali inayokustahili.

Rais Samia Suluhu Hassan nawe namalizia kwa Kukuambia kuwa kama kuna Mtu ambaye hakupendi na hajapenda Urais wako na hata akiwa na Marafiki zake Wanafiki na Magaidi ndani ya Chama Tawala ( CCM ) basi Mwandamizi ( Kiongozi ) wao nj huyu Mbunge wa Kawe Askofu Jossphat Gwajima.

Tena nakusihi kuwa nae makini kuliko unavyodhania ni Nyoka mwenye Sumu Kali ambaye alilelewa vyema na Mtangulizi wako ( sasa Hayati ) ili aje Kuwangata vibaya Watanzania ila kwa sasa anataka kuanza Kukungata Wewe Kwanza ila bado anakitafuta Kisigino chako hajabahatika kukipata kwakuwa nawe hutulii sehemu moja mara Unguja mara Dar es Salaam na mara Dodoma.

Askofu Gwajima ANGUKO LAKO laja.
Umekiri kuwa alilelewa vyema na Magufuli sasa huyo si ndio anamfaa zaidi Mama;
au umesikia JPM na mama walikuwa maadui? Wewe ni zaidi ya mnafiki ambaye umediriki hadi kuwavuta Waislamu ili wakusaidie katika vita yako dhidi ya Gwajima.

Mbona wewe hujasifia hiyo Royal tour?
 
Eti unamjua asilimia 75 unahacha kujua yako yanayokushinda unajua ya wengine.Kuwa busy na Mambo yako ukiyaacha ukadeal ya na gwaj boy yako unamwachia Nani? Hacha kufeli
 
Juzi alikuwa na Rais alipotembelea Kawe, hakusema chochote kuhusu chanjo zaidi ya kucheka cheka tu, hata kama Rais aliwauliza wananchi, Gwajima angetakiwa kusema msimamo wake pale, kukaa kimya ulikuwa ni uoga, uzandiki, na kutojiamini, ajabu leo anaendelea kuwalaghai wasiojielewa.
Ukiwa Kilaza huwez kumwelewa Gwajima.



Alipokua Bungen, hakusema watu wasichanjwe badala yake alisema anaishauri Serikal ipime.........



Anapokua kanisani , anaongea kama kiongozi wa kidini kwenda kwa waumini wakee...nikm Papa anavyoongea kwenda kwa waumini wake kua wachanjwe.

Anapokua Nje ya hayo mawili. Ni mbunge na Raia, ivo basi anabakia kua katikat ya wa nawanaochanja au wasichanjwe yaan anakua na serikali "Ni hiyari"

Na kwakua ni Hiyari, mwenye akili hawezi kuongelea msimamo wake wa kiimani mbele ya hadhara, sana sana kama angeongea angerud tena kuishauri serikali kama anavyoishauri Akiwa bungeni.





Rais Alipouliza wananchi...Bila shaka jibu aliliapata kwa wananchi...wengine wakasema wachanjwe, wengine wakakataa.


Ukitaka kujua msimamo wa Gwajima, muombe Rais aendee kanisan kwa Gwajima. Alafu aulize, tunachanja???? Hatuchanji????

Ndo utajua Gwajima ana akili.




Niridi kwenye mada ya mtoa mada !!!


Ulikuwepo wakati Gwajima anaenda kwa Jiwe amuambie asimshirikishe makamo??...Gwajima alikua nani kiasi cha kua nanguvu hizo???.

Ikiwa niivo, Jiwe alishindwa nn kuachana na Mama ???



MIMI NAONA MTOA MADA, UMETUMWA NA ALOSEMA " MKE WA YESU" .


SOMO LA LEO LIMEWAINGIA SANA...

Kile kisa cha Kipofu ambaye watu hawakutana akutane na Yesu ,yule kipofu akaendelea kupaza sauti..mpaka yesu akamsikia, akaamuru msafara usimame na wamulete Kipofu. Kisha akamponya ...


Alimaanisha hivi...

Spika na wabunge wasompenda, walipiga kelele sana ili Gwajima aonekane hafai ni mbaya

Ila yeye akaendelea kupaza sauti sanaaa. Mpaka siku Mama anapita Jimbon kwake, akaamua kusimamisha msafara. Ili Aonane na Gwaajima, na akupa nafasi Gwajima........


Sasa wale wale akina Spika na wenzake mtaanza kurudi kujipendekeza pendekeza kwa Mama.


JIBUNI HOJA ZA GWAJIMA, ACHENI JANJA JANJA.
 
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Mathias Gwajima hujawahi na wala humpendi mpaka hukupenda Rais Samia kuwa Kiongozi hivi leo isipokuwa unachokifanya sasa ni kumpaka tu Mafuta Mama wa Watu kwa Mgongo wa Chupa na bahati nzuri hata Yeye ameshakushtukia na anasubiri ujae vizuri amalize Shughuli ndani ya Kamati ya Maadili na CC ya CCM.

Gwajima wadanganye wale Wapuuzi wako kadhaa uliowateka Akili zao mbovu na wanakuamini ila kamwe siyo kwa Sisi wengine ambao tunayajua yako angalau kwa 75% tu na yanatutosha na leo tunaanza Kufunguka taratibu juu ya tabia zako za Unafiki, Dharau, Sanifu na Ubaguzi wa Kidini.

Askofu Gwajima hivi siyo Wewe wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli ( Poti wako na aliyekuweka hapo Kawe kuwa Mbunge ) ulikuwa ukienda Kuzungumza nae Mambo yenu ulikuwa ukimsihi asimshirikishe Makamu wake ( Samia Suluhu Hassan Kipindi hicho ) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Uislamu wao?

Mimi Mightier ni Mkristo tena Mkatoliki kabisa ila kama kuna Kiongozi wa Dini ( hasa wa haya Madhehebu ya Kiroho na Kilokole ) ambaye kupitia Watu wake wa karibu nimeambiwa ni Mbaguzi na hawapendi Waislamu ni Wewe Askofu Jossphat Mathias Gwajima.

Na Ushahidi wa hili upo kupitia ile Kauli yako ambayo Watu wa CHADEMA walikuwa wakiirudia mno katika Kampeni za mwaka jana. Na Kauli ile ilikumaliza sana tu isipokuwa kwakuwa Ndugu yako ( Poti Hayati) alishaamua uwe Mbunge iwe Jua au Mvua ukawa kwa Mabavu ya NEC na si ya wana Kawe.

Maelezo yako yote uliyoyatoa leo pamoja na Sifa dhidi ya President Samia's Royal Tour yake yamejaa Unafiki mtupu na kwa Wabobezi wa Saikolojia kama Mightier leo Body Language yako ilikuwa haiendani na uliyokuwa ukiyasema.

Wenye Akili Kubwa kukuzidi Askofu Jossphat Mathias Gwajima ( japo huwa unajitapa una Akili sana ) tumejua kuwa leo umemsifia mno Mama ( Rais Samia Suluhu Hassan ) kwakuwa unajua kuna Hukumu yako ndani ya Chama Tawala ( CCM ) dhidi yako inakusubiri na Yeye kama Mwenyekiti wako ndiyo mpiga Rungu Mkuu wa Adhabu Kali inayokustahili.

Rais Samia Suluhu Hassan nawe namalizia kwa Kukuambia kuwa kama kuna Mtu ambaye hakupendi na hajapenda Urais wako na hata akiwa na Marafiki zake Wanafiki na Magaidi ndani ya Chama Tawala ( CCM ) basi Mwandamizi ( Kiongozi ) wao nj huyu Mbunge wa Kawe Askofu Jossphat Gwajima.

Tena nakusihi kuwa nae makini kuliko unavyodhania ni Nyoka mwenye Sumu Kali ambaye alilelewa vyema na Mtangulizi wako ( sasa Hayati ) ili aje Kuwangata vibaya Watanzania ila kwa sasa anataka kuanza Kukungata Wewe Kwanza ila bado anakitafuta Kisigino chako hajabahatika kukipata kwakuwa nawe hutulii sehemu moja mara Unguja mara Dar es Salaam na mara Dodoma.

Askofu Gwajima ANGUKO LAKO laja.
WaTanzania hamkosagi cha kuongea,kama ulivyoona Gwaji kaongea na wewe vivyo hivyo hujatakaa kukaa kimya. Wabongo wengi kazi yenu ni kuponda na kuongea tu muda wote wala usije dhani hata wewe uko sawa hapana
 
Juzi alikuwa na Rais alipotembelea Kawe, hakusema chochote kuhusu chanjo zaidi ya kucheka cheka tu, hata kama Rais aliwauliza wananchi, Gwajima angetakiwa kusema msimamo wake pale, kukaa kimya ulikuwa ni uoga, uzandiki, na kutojiamini, ajabu leo anaendelea kuwalaghai wasiojielewa.
Kweni Rais alisimama pale ili waongelee chanjo?

Ngozi nyeusi tuna shida kubwa sana
 
Kuna watu Gwajima anawanyima usingizi kabisa na hamna wa kumwekea spidi gavana...anaendelea kuupiga mwingi kwa kasi ya hatari🤣
 
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Mathias Gwajima hujawahi na wala humpendi mpaka hukupenda Rais Samia kuwa Kiongozi hivi leo isipokuwa unachokifanya sasa ni kumpaka tu Mafuta Mama wa Watu kwa Mgongo wa Chupa na bahati nzuri hata Yeye ameshakushtukia na anasubiri ujae vizuri amalize Shughuli ndani ya Kamati ya Maadili na CC ya CCM.

Gwajima wadanganye wale Wapuuzi wako kadhaa uliowateka Akili zao mbovu na wanakuamini ila kamwe siyo kwa Sisi wengine ambao tunayajua yako angalau kwa 75% tu na yanatutosha na leo tunaanza Kufunguka taratibu juu ya tabia zako za Unafiki, Dharau, Sanifu na Ubaguzi wa Kidini.

Askofu Gwajima hivi siyo Wewe wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli ( Poti wako na aliyekuweka hapo Kawe kuwa Mbunge ) ulikuwa ukienda Kuzungumza nae Mambo yenu ulikuwa ukimsihi asimshirikishe Makamu wake ( Samia Suluhu Hassan Kipindi hicho ) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Uislamu wao?

Mimi Mightier ni Mkristo tena Mkatoliki kabisa ila kama kuna Kiongozi wa Dini ( hasa wa haya Madhehebu ya Kiroho na Kilokole ) ambaye kupitia Watu wake wa karibu nimeambiwa ni Mbaguzi na hawapendi Waislamu ni Wewe Askofu Jossphat Mathias Gwajima.

Na Ushahidi wa hili upo kupitia ile Kauli yako ambayo Watu wa CHADEMA walikuwa wakiirudia mno katika Kampeni za mwaka jana. Na Kauli ile ilikumaliza sana tu isipokuwa kwakuwa Ndugu yako ( Poti Hayati) alishaamua uwe Mbunge iwe Jua au Mvua ukawa kwa Mabavu ya NEC na si ya wana Kawe.

Maelezo yako yote uliyoyatoa leo pamoja na Sifa dhidi ya President Samia's Royal Tour yake yamejaa Unafiki mtupu na kwa Wabobezi wa Saikolojia kama Mightier leo Body Language yako ilikuwa haiendani na uliyokuwa ukiyasema.

Wenye Akili Kubwa kukuzidi Askofu Jossphat Mathias Gwajima ( japo huwa unajitapa una Akili sana ) tumejua kuwa leo umemsifia mno Mama ( Rais Samia Suluhu Hassan ) kwakuwa unajua kuna Hukumu yako ndani ya Chama Tawala ( CCM ) dhidi yako inakusubiri na Yeye kama Mwenyekiti wako ndiyo mpiga Rungu Mkuu wa Adhabu Kali inayokustahili.

Rais Samia Suluhu Hassan nawe namalizia kwa Kukuambia kuwa kama kuna Mtu ambaye hakupendi na hajapenda Urais wako na hata akiwa na Marafiki zake Wanafiki na Magaidi ndani ya Chama Tawala ( CCM ) basi Mwandamizi ( Kiongozi ) wao nj huyu Mbunge wa Kawe Askofu Jossphat Gwajima.

Tena nakusihi kuwa nae makini kuliko unavyodhania ni Nyoka mwenye Sumu Kali ambaye alilelewa vyema na Mtangulizi wako ( sasa Hayati ) ili aje Kuwangata vibaya Watanzania ila kwa sasa anataka kuanza Kukungata Wewe Kwanza ila bado anakitafuta Kisigino chako hajabahatika kukipata kwakuwa nawe hutulii sehemu moja mara Unguja mara Dar es Salaam na mara Dodoma.

Askofu Gwajima ANGUKO LAKO laja.
mkuu mbona umeandika kama GENTAMECY? HIVI KWANI NI KINA NANI WANA HAKI YA KUMSIFIA RAIS?
 
Hili igizo wachache tulilishitukia wengine endeleeni kulifuatilia mpoteze focus kwenye masuala ya msingi
 
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Mathias Gwajima hujawahi na wala humpendi mpaka hukupenda Rais Samia kuwa Kiongozi hivi leo isipokuwa unachokifanya sasa ni kumpaka tu Mafuta Mama wa Watu kwa Mgongo wa Chupa na bahati nzuri hata Yeye ameshakushtukia na anasubiri ujae vizuri amalize Shughuli ndani ya Kamati ya Maadili na CC ya CCM.

Gwajima wadanganye wale Wapuuzi wako kadhaa uliowateka Akili zao mbovu na wanakuamini ila kamwe siyo kwa Sisi wengine ambao tunayajua yako angalau kwa 75% tu na yanatutosha na leo tunaanza Kufunguka taratibu juu ya tabia zako za Unafiki, Dharau, Sanifu na Ubaguzi wa Kidini.

Askofu Gwajima hivi siyo Wewe wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli ( Poti wako na aliyekuweka hapo Kawe kuwa Mbunge ) ulikuwa ukienda Kuzungumza nae Mambo yenu ulikuwa ukimsihi asimshirikishe Makamu wake ( Samia Suluhu Hassan Kipindi hicho ) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Uislamu wao?

Mimi Mightier ni Mkristo tena Mkatoliki kabisa ila kama kuna Kiongozi wa Dini ( hasa wa haya Madhehebu ya Kiroho na Kilokole ) ambaye kupitia Watu wake wa karibu nimeambiwa ni Mbaguzi na hawapendi Waislamu ni Wewe Askofu Jossphat Mathias Gwajima.

Na Ushahidi wa hili upo kupitia ile Kauli yako ambayo Watu wa CHADEMA walikuwa wakiirudia mno katika Kampeni za mwaka jana. Na Kauli ile ilikumaliza sana tu isipokuwa kwakuwa Ndugu yako ( Poti Hayati) alishaamua uwe Mbunge iwe Jua au Mvua ukawa kwa Mabavu ya NEC na si ya wana Kawe.

Maelezo yako yote uliyoyatoa leo pamoja na Sifa dhidi ya President Samia's Royal Tour yake yamejaa Unafiki mtupu na kwa Wabobezi wa Saikolojia kama Mightier leo Body Language yako ilikuwa haiendani na uliyokuwa ukiyasema.

Wenye Akili Kubwa kukuzidi Askofu Jossphat Mathias Gwajima ( japo huwa unajitapa una Akili sana ) tumejua kuwa leo umemsifia mno Mama ( Rais Samia Suluhu Hassan ) kwakuwa unajua kuna Hukumu yako ndani ya Chama Tawala ( CCM ) dhidi yako inakusubiri na Yeye kama Mwenyekiti wako ndiyo mpiga Rungu Mkuu wa Adhabu Kali inayokustahili.

Rais Samia Suluhu Hassan nawe namalizia kwa Kukuambia kuwa kama kuna Mtu ambaye hakupendi na hajapenda Urais wako na hata akiwa na Marafiki zake Wanafiki na Magaidi ndani ya Chama Tawala ( CCM ) basi Mwandamizi ( Kiongozi ) wao nj huyu Mbunge wa Kawe Askofu Jossphat Gwajima.

Tena nakusihi kuwa nae makini kuliko unavyodhania ni Nyoka mwenye Sumu Kali ambaye alilelewa vyema na Mtangulizi wako ( sasa Hayati ) ili aje Kuwangata vibaya Watanzania ila kwa sasa anataka kuanza Kukungata Wewe Kwanza ila bado anakitafuta Kisigino chako hajabahatika kukipata kwakuwa nawe hutulii sehemu moja mara Unguja mara Dar es Salaam na mara Dodoma.

Askofu Gwajima ANGUKO LAKO laja.
Ujue shetani anaweza kukutumia kama game video bila wewe kujua kwani yote anayosema kajman yapo ndani ya uwezo wake akiomba yatokee, ni hivi akifunga mbingu zinafunga na akifungua na mbingu zinafungua kama hujui,
 
Juzi alikuwa na Rais alipotembelea Kawe, hakusema chochote kuhusu chanjo zaidi ya kucheka cheka tu, hata kama Rais aliwauliza wananchi, Gwajima angetakiwa kusema msimamo wake pale, kukaa kimya ulikuwa ni uoga, uzandiki, na kutojiamini, ajabu leo anaendelea kuwalaghai wasiojielewa.
Ishu zake za chanjo ni kanisani, sio kwenye majukwaa ya siasa
 
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Mathias Gwajima hujawahi na wala humpendi mpaka hukupenda Rais Samia kuwa Kiongozi hivi leo isipokuwa unachokifanya sasa ni kumpaka tu Mafuta Mama wa Watu kwa Mgongo wa Chupa na bahati nzuri hata Yeye ameshakushtukia na anasubiri ujae vizuri amalize Shughuli ndani ya Kamati ya Maadili na CC ya CCM.

Gwajima wadanganye wale Wapuuzi wako kadhaa uliowateka Akili zao mbovu na wanakuamini ila kamwe siyo kwa Sisi wengine ambao tunayajua yako angalau kwa 75% tu na yanatutosha na leo tunaanza Kufunguka taratibu juu ya tabia zako za Unafiki, Dharau, Sanifu na Ubaguzi wa Kidini.

Askofu Gwajima hivi siyo Wewe wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli ( Poti wako na aliyekuweka hapo Kawe kuwa Mbunge ) ulikuwa ukienda Kuzungumza nae Mambo yenu ulikuwa ukimsihi asimshirikishe Makamu wake ( Samia Suluhu Hassan Kipindi hicho ) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Uislamu wao?

Mimi Mightier ni Mkristo tena Mkatoliki kabisa ila kama kuna Kiongozi wa Dini ( hasa wa haya Madhehebu ya Kiroho na Kilokole ) ambaye kupitia Watu wake wa karibu nimeambiwa ni Mbaguzi na hawapendi Waislamu ni Wewe Askofu Jossphat Mathias Gwajima.

Na Ushahidi wa hili upo kupitia ile Kauli yako ambayo Watu wa CHADEMA walikuwa wakiirudia mno katika Kampeni za mwaka jana. Na Kauli ile ilikumaliza sana tu isipokuwa kwakuwa Ndugu yako ( Poti Hayati) alishaamua uwe Mbunge iwe Jua au Mvua ukawa kwa Mabavu ya NEC na si ya wana Kawe.

Maelezo yako yote uliyoyatoa leo pamoja na Sifa dhidi ya President Samia's Royal Tour yake yamejaa Unafiki mtupu na kwa Wabobezi wa Saikolojia kama Mightier leo Body Language yako ilikuwa haiendani na uliyokuwa ukiyasema.

Wenye Akili Kubwa kukuzidi Askofu Jossphat Mathias Gwajima ( japo huwa unajitapa una Akili sana ) tumejua kuwa leo umemsifia mno Mama ( Rais Samia Suluhu Hassan ) kwakuwa unajua kuna Hukumu yako ndani ya Chama Tawala ( CCM ) dhidi yako inakusubiri na Yeye kama Mwenyekiti wako ndiyo mpiga Rungu Mkuu wa Adhabu Kali inayokustahili.

Rais Samia Suluhu Hassan nawe namalizia kwa Kukuambia kuwa kama kuna Mtu ambaye hakupendi na hajapenda Urais wako na hata akiwa na Marafiki zake Wanafiki na Magaidi ndani ya Chama Tawala ( CCM ) basi Mwandamizi ( Kiongozi ) wao nj huyu Mbunge wa Kawe Askofu Jossphat Gwajima.

Tena nakusihi kuwa nae makini kuliko unavyodhania ni Nyoka mwenye Sumu Kali ambaye alilelewa vyema na Mtangulizi wako ( sasa Hayati ) ili aje Kuwangata vibaya Watanzania ila kwa sasa anataka kuanza Kukungata Wewe Kwanza ila bado anakitafuta Kisigino chako hajabahatika kukipata kwakuwa nawe hutulii sehemu moja mara Unguja mara Dar es Salaam na mara Dodoma.

Askofu Gwajima ANGUKO LAKO laja.
Wewe mnafiki mwabudu sanamu huna lakumfanya Gwajima hata Rais anajua nguvu ya Gwajima baki kuota ndoto tu huna maana! Badala ya kujadili hoja unakuja na maneno ya fitina! Unafikiri Rais ni Mungu hawexi kukosolewa? Jipanbe Gwajima sio level yako!
 
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Mathias Gwajima hujawahi na wala humpendi mpaka hukupenda Rais Samia kuwa Kiongozi hivi leo isipokuwa unachokifanya sasa ni kumpaka tu Mafuta Mama wa Watu kwa Mgongo wa Chupa na bahati nzuri hata Yeye ameshakushtukia na anasubiri ujae vizuri amalize Shughuli ndani ya Kamati ya Maadili na CC ya CCM.

Gwajima wadanganye wale Wapuuzi wako kadhaa uliowateka Akili zao mbovu na wanakuamini ila kamwe siyo kwa Sisi wengine ambao tunayajua yako angalau kwa 75% tu na yanatutosha na leo tunaanza Kufunguka taratibu juu ya tabia zako za Unafiki, Dharau, Sanifu na Ubaguzi wa Kidini.

Askofu Gwajima hivi siyo Wewe wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli ( Poti wako na aliyekuweka hapo Kawe kuwa Mbunge ) ulikuwa ukienda Kuzungumza nae Mambo yenu ulikuwa ukimsihi asimshirikishe Makamu wake ( Samia Suluhu Hassan Kipindi hicho ) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Uislamu wao?

Mimi Mightier ni Mkristo tena Mkatoliki kabisa ila kama kuna Kiongozi wa Dini ( hasa wa haya Madhehebu ya Kiroho na Kilokole ) ambaye kupitia Watu wake wa karibu nimeambiwa ni Mbaguzi na hawapendi Waislamu ni Wewe Askofu Jossphat Mathias Gwajima.

Na Ushahidi wa hili upo kupitia ile Kauli yako ambayo Watu wa CHADEMA walikuwa wakiirudia mno katika Kampeni za mwaka jana. Na Kauli ile ilikumaliza sana tu isipokuwa kwakuwa Ndugu yako ( Poti Hayati) alishaamua uwe Mbunge iwe Jua au Mvua ukawa kwa Mabavu ya NEC na si ya wana Kawe.

Maelezo yako yote uliyoyatoa leo pamoja na Sifa dhidi ya President Samia's Royal Tour yake yamejaa Unafiki mtupu na kwa Wabobezi wa Saikolojia kama Mightier leo Body Language yako ilikuwa haiendani na uliyokuwa ukiyasema.

Wenye Akili Kubwa kukuzidi Askofu Jossphat Mathias Gwajima ( japo huwa unajitapa una Akili sana ) tumejua kuwa leo umemsifia mno Mama ( Rais Samia Suluhu Hassan ) kwakuwa unajua kuna Hukumu yako ndani ya Chama Tawala ( CCM ) dhidi yako inakusubiri na Yeye kama Mwenyekiti wako ndiyo mpiga Rungu Mkuu wa Adhabu Kali inayokustahili.

Rais Samia Suluhu Hassan nawe namalizia kwa Kukuambia kuwa kama kuna Mtu ambaye hakupendi na hajapenda Urais wako na hata akiwa na Marafiki zake Wanafiki na Magaidi ndani ya Chama Tawala ( CCM ) basi Mwandamizi ( Kiongozi ) wao nj huyu Mbunge wa Kawe Askofu Jossphat Gwajima.

Tena nakusihi kuwa nae makini kuliko unavyodhania ni Nyoka mwenye Sumu Kali ambaye alilelewa vyema na Mtangulizi wako ( sasa Hayati ) ili aje Kuwangata vibaya Watanzania ila kwa sasa anataka kuanza Kukungata Wewe Kwanza ila bado anakitafuta Kisigino chako hajabahatika kukipata kwakuwa nawe hutulii sehemu moja mara Unguja mara Dar es Salaam na mara Dodoma.

Askofu Gwajima ANGUKO LAKO laja.
Gentamycin, Gentamycin, Gentamycine unachokitafuta utakipata tu
 
Toka.misingi ya taifa hii ijengwe sijawahi ona mtu anayachezea makalio ya serikali kama.huyu bwana naona huko anapoelekea atataka kupenyeza sh 50 kwenye mstari unaogawa makalio
 
Back
Top Bottom