Maslai yao yanapokoma ndipo upeo wao unapokomaHuyu si alikua muimba mapambio mkuu wa Mwendazake?
Hana anachokijua anabwatuka tu.......Gwajima mara hii kasha sahau viongozi wenzake (wakristo) waliokuwa wakipigwa risasi, makanisa kuchomwa na kutupiwa mabomu Zanzibar, Arusha, Dar, Kagera, nakadhalika
Mwendazake hana ishu tena so hakuna mwenye time naye imebaki historia tuHuyu si alikua muimba mapambio mkuu wa Mwendazake?
Akifanya hivyo basi atakuwa amefanya kosa kubwa la kimkakati (kisiasa, kiulinzi, nakadhalika)..huenda Mama anajiandaa kuwaachia Mashekhe.
..Gwajima ametumwa tu kusafisha njia.
Unataka wakae ndani daima milele.?Akifanya hivyo basi atakuwa amefanya kosa kubwa la kimkakati (kisiasa, kiulinzi, nakadhalika)
Kwa kuwaachia atawake mahali pagumu CCM Zanzibar na Hussein Mwinyi
Muungano, Utulivu, Uhuru wa wakristo wa Zanzibar navyo vitakuwa mashakani
Duuu ,ungetupa kwa undani maana huko zenji wanataka waachiwe !Akifanya hivyo basi atakuwa amefanya kosa kubwa la kimkakati (kisiasa, kiulinzi, nakadhalika)
Kwa kuwaachia atawake mahali pagumu CCM Zanzibar na Hussein Mwinyi
Muungano, Utulivu, Uhuru wa wakristo wa Zanzibar navyo vitakuwa mashakani
Hakuna sehemu nimetaja jina la mtu, huyo Magu ni wewe umemsema mkuuShetani hakuwa nadarakani miaka 9 iliyopita....
Tuhuma kama hizi zinanihakikishia Magu yuko heaven. Anasingiziwa kila kitu[emoji16]
hayo mahubiri yanapatikana wapi?Hao jamaa serikali kuwashikilia bila kuwafikisha mahakamani ni kama kuwaogopa, wanaogopa sheria inaweza kuwaachia huru watu ambao ni "threat" kwenye jamii.
Aina ya mahubiri waliyokuwa wanayafanya ndio inayowagarimu, na hili limesababisha hata marais "wenzao" wasiwaachie huru. Tuliona watu wakimwagiwa tindikali bcoz of them, na walipokamatwa hali ikatulia.
Akifanya hivyo basi atakuwa amefanya kosa kubwa la kimkakati (kisiasa, kiulinzi, nakadhalika)
Kwa kuwaachia atawake mahali pagumu CCM Zanzibar na Hussein Mwinyi
Muungano, Utulivu, Uhuru wa wakristo wa Zanzibar navyo vitakuwa mashakani
Amuombe Gwaji boyNlidhani anataka kufufua mtu