BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Kutoa maoni ni unafiki?Hiyo hotuba ya Gwajima bungeni inamwonyesha jinsi alivyo mnafiki. Yeye ni mbunge wa kawe, na hao masheikh wa uamsho au wa arusha hawapo kawe.Na zaidi anaingilia Mambo ya mahakama.
Mtetezi wake hayupo atafanyaje sasa?Ukisikia jamaa wanasema fulani ni bendera fuata upepo halafu ukawa hujui wanamaanisha nini, mfuatilie Gwajima.
Angalau huyu kabebwa kuingia mjengoni lakini analeta unafiki wenye manufaa kwa wengine kuliko Babu wa ilala anataka tipishwe kodi kwenye mitandao ya simu jamani da!!!Mimi siongezi neno hapa
Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amelishauri Bunge kuwa Sheria kandamizi zilizotungwa mwaka 2019 ikiwemo Sheria ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha zifanyiwe Marekebisho kwani kuna Maelfu ya watu Wamebambikiwa kesi hizo mpaka sasa Wanasota Mahabusu bila kujua hatma yao.
Aidha, Gwajima amesema haoni sababu ya Masheikh wa UAMSHO kuendelea kusota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua hatma yao
"Kuna Masheikh wa Uamsho wapo Mahabusu mwaka wa 9 sasa, hebu imagine ni Baba yako anasota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua atahukumiwa lini na vipi ikibainika hawana hatia mtawalipa nini?. Simaanishi hawana hatia au wanayo nashauri ni vyema wahukumiwe wajue moja.
Arusha kuna Masheikh 64 wanasota Mahabusu kwa kesi ya Ugaidi, najiuliza hivi hii nchi Magaidi ni Masheikh tu Hakuna watu wengine"Josephat Gwajima.
Ahsante Gwajima kwa kuliona hili.
Kwahiyo hao masheikh wenyewe ndio walikuwa wanawamwagia watu tindikali au kwamba kuna watu wengine ambao ndio walikuwa wakimwagia watu tindikali kwa sababu za ya mahubiri ya hao masheikh?Hao jamaa serikali kuwashikilia bila kuwafikisha mahakamani ni kama kuwaogopa, wanaogopa sheria inaweza kuwaachia huru watu ambao ni "threat" kwenye jamii.
Aina ya mahubiri waliyokuwa wanayafanya ndio inayowagarimu, na hili limesababisha hata marais "wenzao" wasiwaachie huru. Tuliona watu wakimwagiwa tindikali bcoz of them, na walipokamatwa hali ikatulia.
He's simply a cone artist of the highest order!Yule ni tapeli kama matapeli wengine
AmeHAMUKAMimi siongezi neno hapa
Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amelishauri Bunge kuwa Sheria kandamizi zilizotungwa mwaka 2019 ikiwemo Sheria ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha zifanyiwe Marekebisho kwani kuna Maelfu ya watu Wamebambikiwa kesi hizo mpaka sasa Wanasota Mahabusu bila kujua hatma yao.
Aidha, Gwajima amesema haoni sababu ya Masheikh wa UAMSHO kuendelea kusota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua hatma yao
"Kuna Masheikh wa Uamsho wapo Mahabusu mwaka wa 9 sasa, hebu imagine ni Baba yako anasota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua atahukumiwa lini na vipi ikibainika hawana hatia mtawalipa nini?. Simaanishi hawana hatia au wanayo nashauri ni vyema wahukumiwe wajue moja.
Arusha kuna Masheikh 64 wanasota Mahabusu kwa kesi ya Ugaidi, najiuliza hivi hii nchi Magaidi ni Masheikh tu Hakuna watu wengine"Josephat Gwajima.
Ahsante Gwajima kwa kuliona hili.
Fact!Hao jamaa serikali kuwashikilia bila kuwafikisha mahakamani ni kama kuwaogopa, wanaogopa sheria inaweza kuwaachia huru watu ambao ni "threat" kwenye jamii.
Aina ya mahubiri waliyokuwa wanayafanya ndio inayowagarimu, na hili limesababisha hata marais "wenzao" wasiwaachie huru. Tuliona watu wakimwagiwa tindikali bcoz of them, na walipokamatwa hali ikatulia.
Gwajima mara hii kasha sahau viongozi wenzake (wakristo) waliokuwa wakipigwa risasi, makanisa kuchomwa na kutupiwa mabomu Zanzibar, Arusha, Dar, Kagera, nakadhalika
Kwani haelewi kwamba bunge halipaswi kuingilia mhimili wa mahakama. Mwanasheria wa serikali yupo,mkurugenzi wa mashtaka yupo,jaji mkuu yupo. Yeye anawaona walipolinyamazia hilo swala miaka yote hiyo hawana akili. Na yeye ndio mara yake ya kwanza kuingia bungeni. Hayo maoni yake yanaonyesha jinsi asivyoelewa mipaka yake kama mbunge, kwa kuingilia mambo ya mahakama.Kutoa maoni ni unafiki?
Unaonaje hili huenda liliratibiwa na System KuBlock Wazenj wasiidai nchi yao?Tuliona watu wakimwagiwa tindikali bcoz of them, na walipokamatwa hali ikatulia
Kama hali ilivyotulia baada ya Jiwe kufa au?Hao jamaa serikali kuwashikilia bila kuwafikisha mahakamani ni kama kuwaogopa, wanaogopa sheria inaweza kuwaachia huru watu ambao ni "threat" kwenye jamii.
Aina ya mahubiri waliyokuwa wanayafanya ndio inayowagarimu, na hili limesababisha hata marais "wenzao" wasiwaachie huru. Tuliona watu wakimwagiwa tindikali bcoz of them, na walipokamatwa hali ikatulia.
Sio kweli acha UONGO mtu wewe.. Leta ushahidi kwamba walihubiri kumwagiwa watu tindikali.. Chuki haitakufikisha popoteTuliona watu wakimwagiwa tindikali bcoz of them, na walipokamatwa hali ikatulia.
Hakuna maana ya kua na sheria sasa kama wanaigopa huu ndio upuuzi wa mtu mweusi sheria ifuatwe kama ilivyo hayo mengine ni uonevu tuu. Na wanaokandamiza sherua nakudhulum Mungu awaangamizeHao jamaa serikali kuwashikilia bila kuwafikisha mahakamani ni kama kuwaogopa, wanaogopa sheria inaweza kuwaachia huru watu ambao ni "threat" kwenye jamii.
Aina ya mahubiri waliyokuwa wanayafanya ndio inayowagarimu, na hili limesababisha hata marais "wenzao" wasiwaachie huru. Tuliona watu wakimwagiwa tindikali bcoz of them, na walipokamatwa hali ikatulia.