Nitashangaa iwapo watamuwekea vikwazo ili hali Rage aliwahi kuwa mbunge wa Tabora mjini kwa ticket ya CCM na wakati huo huo akiwa ni mwenyekiti wa club ya Simba.
Zito Kabwe kama Nape Nnauye ni career Politicians, hakuna kitu wanajua zaidi ya
Uongo, Fitina na Majungu, wameishi maisha yao yote hivyo na wamefikia hapo walipofikia kwa njia hiyo hivyo hakuna jipya na hawawezi kuacha!
Wacha aje kuisaidia Simba Koko kupata points za mezani.
SImba ni timu ya hovyo
Kivipi yani?Ha haaaaaaaaa! Hii ni zaidi ya comedy... This will be a mockery to politics...
Walioitwa mafisadi miaka hiyo 8 ni wangapi?na wa mbowe...kumuita mtu fisadi miaka 8 na kumsafisha kwa siku moja!!
Kama ni kweli ZZK apewe TFFNaona wanasiasa, hasa wa vyama vya upinzani, wakiendelea kujiimarisha katika anga zingine mbali na siasa na safari hii mwanasiasa mwingine wa upinzani, Zitto Zuberi Kabwe nae anatajwa kujitosa kugombea urais wa Shirikisho la Mpira Nchini(TFF) kama ambavyo mwanasiasa mwenzake wa upinzani,Tundu Lissu alivyojitosa na hatimae kushinda uraisi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika(TLS) hivi karibuni.
Habari ya Zitto kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha uraisi wa TFF imeripotiwa katika gazeti la MwanaSport la siku ya leo.
Swali ni je,zile figisufigisu za kisiasa alizofanyiwa Lissu wakati anataka kugombea uraisi wa TLS tutaziona tena kwa Zitto?
Tusubiri.
Naona wanasiasa, hasa wa vyama vya upinzani, wakiendelea kujiimarisha katika anga zingine mbali na siasa na safari hii mwanasiasa mwingine wa upinzani, Zitto Zuberi Kabwe nae anatajwa kujitosa kugombea urais wa Shirikisho la Mpira Nchini(TFF) kama ambavyo mwanasiasa mwenzake wa upinzani,Tundu Lissu alivyojitosa na hatimae kushinda uraisi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika(TLS) hivi karibuni.
Habari ya Zitto kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha uraisi wa TFF imeripotiwa katika gazeti la MwanaSport la siku ya leo.
Swali ni je,zile figisufigisu za kisiasa alizofanyiwa Lissu wakati anataka kugombea uraisi wa TLS tutaziona tena kwa Zitto?
Tusubiri.