Mbunge wa Marekani athibitisha Marekani kupitia USAID kuwa ilifadhili kundi la Boko Haram la Nigeria

Mbunge wa Marekani athibitisha Marekani kupitia USAID kuwa ilifadhili kundi la Boko Haram la Nigeria

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Ufichuzi wa Mbunge wa Marekani Scott Perry kwamba Shirika la Misaada ya Kimataifa la Marekani (USAID) limekuwa likifadhili kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria uliibua hisia kali.

Madai ya Perry yamegusa hisia kali nchini Nigeria, ambapo Boko Haram wameua zaidi ya watu 50,000 na kuwalazimu milioni 2.5 kukimbia, huku wengi wakilazimika kutafuta hifadhi nchini Niger, Chad na Cameroon.

"Tumekuwa tukijiuliza kwa miaka, kando na uvamizi na utekaji nyara magaidi hawa wanapata fedha zao kutoka wapi? Inatia wasiwasi. Sasa kwa vile Mbunge wa Marekani amezungumza hadharani kuhusu hilo, hatuwezi kukataa kuwa ni madai tu."

"Nilihudumu katika kamati inayoshughulukia masuala ya Boko Haram, na wanakijiji walitueleza mara kwa mara kuhusu helikopta zinazosafirishwa na wageni ambazo ziliendelea kutua Borno zikiwa na silaha, risasi na pesa taslimu," alisema Akinyemi.


 
Wakuu,

Ufichuzi wa Mbunge wa Marekani Scott Perry kwamba Shirika la Misaada ya Kimataifa la Marekani (USAID) limekuwa likifadhili kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria uliibua hisia kali.

Madai ya Perry yamegusa hisia kali nchini Nigeria, ambapo Boko Haram wameua zaidi ya watu 50,000 na kuwalazimu milioni 2.5 kukimbia, huku wengi wakilazimika kutafuta hifadhi nchini Niger, Chad na Cameroon.

"Tumekuwa tukijiuliza kwa miaka, kando na uvamizi na utekaji nyara magaidi hawa wanapata fedha zao kutoka wapi? Inatia wasiwasi. Sasa kwa vile Mbunge wa Marekani amezungumza hadharani kuhusu hilo, hatuwezi kukataa kuwa ni madai tu."

"Nilihudumu katika kamati inayoshughulukia masuala ya Boko Haram, na wanakijiji walitueleza mara kwa mara kuhusu helikopta zinazosafirishwa na wageni ambazo ziliendelea kutua Borno zikiwa na silaha, risasi na pesa taslimu," alisema Akinyemi.


Marekani Hana rafiki wala adui wa kudumu, inategemea unameets vipi interest zake
 
Nigeria si walitaka kupiga Burkina Faso na kuondoa Raisi madarakani kisa wafaransa na marekani kumbe wao ndani Kwa ndani marekani anadhoofisha Nchi zao
 
Wakuu,

Ufichuzi wa Mbunge wa Marekani Scott Perry kwamba Shirika la Misaada ya Kimataifa la Marekani (USAID) limekuwa likifadhili kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria uliibua hisia kali.

Madai ya Perry yamegusa hisia kali nchini Nigeria, ambapo Boko Haram wameua zaidi ya watu 50,000 na kuwalazimu milioni 2.5 kukimbia, huku wengi wakilazimika kutafuta hifadhi nchini Niger, Chad na Cameroon.

"Tumekuwa tukijiuliza kwa miaka, kando na uvamizi na utekaji nyara magaidi hawa wanapata fedha zao kutoka wapi? Inatia wasiwasi. Sasa kwa vile Mbunge wa Marekani amezungumza hadharani kuhusu hilo, hatuwezi kukataa kuwa ni madai tu."

"Nilihudumu katika kamati inayoshughulukia masuala ya Boko Haram, na wanakijiji walitueleza mara kwa mara kuhusu helikopta zinazosafirishwa na wageni ambazo ziliendelea kutua Borno zikiwa na silaha, risasi na pesa taslimu," alisema Akinyemi.


Lengo lao kuuu ni kufanya Propaganda kuuuchafua UISLAM ili tu waislamu Waonekane Wakolofi Magaid WAZUNGU wanatumia nguvu kubwa kuusambalatisha UISLAM ¿¿

lkn niliwai Sema Changamoto kubwa Wanayokutana nayo ni UISLAM umewadhidi Maarifa Wazungu Uslamu una miongozo yake iyo ndio kikwazo kikuu kwao , Bado awajasema!!!!!
 
Lengo lao kuuu ni kufanya Propaganda kuuuchafua UISLAM ili tu waislamu Waonekane Wakolofi Magaid WAZUNGU wanatumia nguvu kubwa kuusambalatisha UISLAM ¿¿

lkn niliwai Sema Changamoto kubwa Wanayokutana nayo ni UISLAM umewadhidi Maarifa Wazungu Uslamu una miongozo yake iyo ndio kikwazo kikuu kwao , Bado awajasema!!!!!
Wale jamaa sidhani kama wana dini.

USA wanajua wenyewe wanachoabudu, ila deepdown jamaa ni wazalendo wa nchi yao, sijui huwa wanalishwa au kukalilishwa nini ila wamarekani wanaipenda nchi yao.
 
Wale jamaa sidhani kama wana dini.

USA wanajua wenyewe wanachoabudu, ila deepdown jamaa ni wazalendo wa nchi yao, sijui huwa wanalishwa au kukalilishwa nini ila wamarekani wanaipenda nchi yao.
Wazalendo wa Corporate zao, kuna Wamarekani wengi masikini, mpaka leo hata bima hawana, wapo busy kufund vita Dunia nzima. Utofauti wa Ulaya na Usa ni mbingu na Ardhi unapoongelea welfare.
 
Natoa mfano kuna yu Dada wa UK alikwenda Afghanistan na biblia ya lugha ya wenyeji wa Afghanistan lengo lake kuwapiga neno Mabint wa Afghanistan wale alioweza kuwafikia !!!

lkn baadh ya Mabint wakatoa ile siri kwao!! Na ikumbukwe chini ya Talebani kuitangaza Iman nyengine ndanj ya Afghanistan unaweza kuuwawa,!!!!

lkn yule bint Mzungu jasiri akuogopa alifanya kosa kubwa kwanza kuchapisha Biblia kwa Lugha ya wenyeji ni wazi wewe ulikuwa unalengo la kuwafikia Wenyeji !!!

Kwaiyo Akakamatwa na Taleban lkn kwakua nchi ilikuwa kwenye Vita Waliama kutoka KABUL adi kandahar mwisho!!

Telaban wakamwambia kwakua nchi ipo kwenye Vita aitoweza kusikiliza kesi yako ivyo Tunakuachia huru Tutakupeleka mpakani na Pakistan!!!!

uko Utapokelewa na nchi yako tutakuwa Tushawajulisha Pakistan kweli Dada wa kizungu Akapelekwa Adi mpakani na mwisho kuingia Pakistan na kwenda kwao ULAYA!!!

. Kwao uko Walokole wenzie wamejazana kwao kumpokea na kumsifu JESUS Mchungaji wake nae ndio ivyo meno yote nnje!!!!

Akaambiwa na Mamake kuwa Wenzio yani Walokole Wenzie Walikuwa Wanakesha apa nyumbani kukuombea pamoja Mchungaji wao!!!!

Waandish Habari kibao mana uyu Bint ukiacha Ulokole wake Alikuwa pia ni Mwandish Habari ata kaingia Afghanistan kwa kofia iyo !!!

kumbe Ujasiri kaupata kwa Vile ni Mlokole!!!!! Baada ya siku tatu akakutana na Media apo sasa ndio akawaacha hoiii

kuwaambia Baada ya kushukulu wote waliokesha kwa Ajili yake Mamake viongozi wa Dini Asanteni sana nawapenda sana. Lkn mimi narudi PAKISTAN kusomea Uslamu

akawaambia tena Najua amtanielewa kwakua mm nilikuwa kama nyinyi apo mlivo lkn niseme tu nilitaka kwenda kuwakomboa Wasichana Ambao kumbe Walishakombolewa ata kabla Wasichana wa ULAYA yote atujakombolewa !!!!!!

Mwanadada uyu Jasiri kupitia Elimu yake ya Media Aliwapeleka mbio sana Wazungu Kawabadili Dini Wazungu wengi sana kawaingiza kwenye Uslamu,, Nabado Anaendelea kupiga kazi ya mola wake Ulaya Yote!!!

lkn Tujiulize kwanin Bint uyu Alibadili Pigano lake kutoka kuusambalatisha Uslamu na badala yake kuipinga Iman yake ya awali wavivu watasema majini!!!

Natumia neno Iman ya kislamu inamiongozo yake inatoa majibu ktk kila tukio yule Dada kakamatwa lkn ajawai kumuona mwanaume siku zote!!!!

anaudumiwa na Mwanamke mwenzie Adi Kapelekwa Pakistan wapo na dreva yupo mbele wao wamekaa nyuma !!!

wkt kule ndugu zake na Walokole Macho mekundu kwa kukesha kumbe yule Bint kule ana shida yoyote Ajawai ata kumuona mwanaume wala kuguswa popote!!!!

HAMAS Nao ivyo ivyo wana miongozo ya Uslamu Tumeona mateka Wametoka wapo OK kiafya kiakili pia!! japo GAZA Imepigwa MAKOMBORA YA kuuwa kila kitu lkn HAMAS Pamoja na wao kuuwawa chungu nzima lkn bado Waliwatunza Mateka Vizuli

twende Kwa taifa teule mateka waliowachiwa Wengine Awana miguuu wengine Wamelawitiwa wengine Wametoka uko wamefikia kwenye vitanda Vya Hospital wapo Hoi,

RAIS wa French EMMANUEL MACRON juzi kati nae alikwenda Airport yao kumpokea mwana Mama raia wake Alishikiliwa muda mlefu uko MALI!!!

wakati MACRON Alipanga kumtumia uyo Mama kufanya Propaganda kuuchafua Uslamu na michuki yake!!! Mama Akawa ndio MEDIA imeanza kutaka Aseme kitu Daaa!!!!

Akadai yete ni Muislam na anapanga kulejea ukouko alikotoka kwenda Kujifunza Zaid Uslamu apo Sasa MACRON Akaonekana kama kachanganyikiwa!!!!

Awakujua kama yule Mama Tayali ni Muislam Vyombo vya Habari vilipo muoji juu ya maisha yake kule MALI ndio sasa Yanajulikana apo apo Airport!!!

ndio mana nasema Uslamu umewadhidi maarifa Wazungu WAnakwama kila project zao,
 
Wale jamaa sidhani kama wana dini.

USA wanajua wenyewe wanachoabudu, ila deepdown jamaa ni wazalendo wa nchi yao, sijui huwa wanalishwa au kukalilishwa nini ila wamarekani wanaipenda nchi yao.
Apana awa jamaa baada ya kuangukia Soviet Walijielekeza kutaka jamii ya Waislam iwe Waislam majina tu lkn moyoni Wawe Weupe ata ukimdhihaki kuusu Dini Abaki Anacheka tu!!

Leo biblia ata ukichoma Moto Sijui kama yupo Atakaekusaka!!!! WAZUNGU wapo na Project nyingi ikiwemo UISLAM ndio alakati kama izo kuteka Wanafunzi wa KIKE!!!

na mengine kuuwa watu Ovyo ili tu watu Wauchukie UISLAM lkn Ukweli unabainika japo kwa kuchelewa!!! SASA Angalia wamewateka Wasichana na kuwaowa Wameozeshwa nanani!!!!??

Mbona HAMAS Awajawoowa wale mabint wa Israel !!!! WAZUNGU Njamazao tu lkn Wanakwama ndio mana ichi 8 za Africa magharibi Zimewafukuza Wafaransa!!!

na pengine adi Marekani imefungasha Virago !!!!! Wamegunduliwa njama zao ndio Walikuwa Wanawapa rasilimali muimu za kijesh Wale Waasi wa kidini Fake. Ata CONGO AWA ADF itakuja kujulikana sio Waislam!!!!!
 
Wale jamaa sidhani kama wana dini.

USA wanajua wenyewe wanachoabudu, ila deepdown jamaa ni wazalendo wa nchi yao, sijui huwa wanalishwa au kukalilishwa nini ila wamarekani wanaipenda nchi yao.
Sasa linchi la kishua namna ile kila mtu anapenda kufika/kuishi hapo, hata maadui wake wanamezea mate maisha ya pale, hata kama ni wewe utashindwa kulipenda mkuu?

Nchi ina bata za kila aina, pesa ikitafutwa inapatikana, huduma za kijamii ni za viwango vya juu, viongozi wana akili timamu na wanawaheshimu wananchi wao hakuna kuambizana jadilini uganga wa kienyeji wala kung'ang'ania madaraka, hakuna kuambizana kuwa hata msipopiga kura chama twawala kitashinda inategemea anayehesabu na kutangaza, hakuna laana za sisiem, hakuna uchawa, hakuna kumsujudu rais ili kupata teuzi, kuwa mpinzani si sawa na uhaini, hakuna simba na yanga za kutumika kupumbaza watu, hakuna kutekana wala vita, mifumo ya nchi ipo hai na inafanya kazi sustainably nk nk, at least kila kitu kinaonesha ni binadamu wanaishi na wana ubongo.

Yaani hadi raha kutaja jina la nchi yako, hata wimbo wa taifa na bendera ya nchi yako unavionea fahari. Tanzania ili uwe mizalendo na uhesabike unaipenda nchi sharti uwe ccm na umsifu rais!
 
Uzi upo Toka saa 2:50 asubuhi cha ajabu mpaka sasa wayahudi siwaoni apa! Au wanachungulia tu na kusepa
 
Back
Top Bottom