Mbunge wa Marekani athibitisha Marekani kupitia USAID kuwa ilifadhili kundi la Boko Haram la Nigeria

Mbunge wa Marekani athibitisha Marekani kupitia USAID kuwa ilifadhili kundi la Boko Haram la Nigeria

Lengo lao kuuu ni kufanya Propaganda kuuuchafua UISLAM ili tu waislamu Waonekane Wakolofi Magaid WAZUNGU wanatumia nguvu kubwa kuusambalatisha UISLAM ¿¿

lkn niliwai Sema Changamoto kubwa Wanayokutana nayo ni UISLAM umewadhidi Maarifa Wazungu Uslamu una miongozo yake iyo ndio kikwazo kikuu kwao , Bado awajasema!!!!!
Kwahiyo wale tunaowaona (magaidi)ni watu wa dini gani?
 
Sasa linchi la kishua namna ile kila mtu anapenda kufika/kuishi hapo, hata maadui wake wanamezea mate maisha ya pale, hata kama ni wewe utashindwa kulipenda mkuu?

Nchi ina bata za kila aina, pesa ikitafutwa inapatikana, huduma za kijamii ni za viwango vya juu, viongozi wana akili timamu na wanawaheshimu wananchi wao hakuna kuambizana jadilini uganga wa kienyeji wala kung'ang'ania madaraka, hakuna kuambizana kuwa hata msipopiga kura chama twawala kitashinda inategemea anayehesabu na kutangaza, hakuna laana za sisiem, hakuna uchawa, hakuna kumsujudu rais ili kupata teuzi, kuwa mpinzani si sawa na uhaini, hakuna simba na yanga za kutumika kupumbaza watu, hakuna kutekana wala vita, mifumo ya nchi ipo hai na inafanya kazi sustainably nk nk, at least kila kitu kinaonesha ni binadamu wanaishi na wana ubongo.

Yaani hadi raha kutaja jina la nchi yako, hata wimbo wa taifa na bendera ya nchi yako unavionea fahari. Tanzania ili uwe mizalendo na uhesabike unaipenda nchi sharti uwe ccm na umsifu rais!
Acha tu mkuu, wale jamaa wana mahaba na nchi yao.

Hao blacks wanosema wanakandamizwa ila bado US wanaipenda mno, nyimbo zao, movie zao nyingi ni kuipromote US na sio nchi zao za asili.
 
Apana awa jamaa baada ya kuangukia Soviet Walijielekeza kutaka jamii ya Waislam iwe Waislam majina tu lkn moyoni Wawe Weupe ata ukimdhihaki kuusu Dini Abaki Anacheka tu!!

Leo biblia ata ukichoma Moto Sijui kama yupo Atakaekusaka!!!! WAZUNGU wapo na Project nyingi ikiwemo UISLAM ndio alakati kama izo kuteka Wanafunzi wa KIKE!!!

na mengine kuuwa watu Ovyo ili tu watu Wauchukie UISLAM lkn Ukweli unabainika japo kwa kuchelewa!!! SASA Angalia wamewateka Wasichana na kuwaowa Wameozeshwa nanani!!!!??

Mbona HAMAS Awajawoowa wale mabint wa Israel !!!! WAZUNGU Njamazao tu lkn Wanakwama ndio mana ichi 8 za Africa magharibi Zimewafukuza Wafaransa!!!

na pengine adi Marekani imefungasha Virago !!!!! Wamegunduliwa njama zao ndio Walikuwa Wanawapa rasilimali muimu za kijesh Wale Waasi wa kidini Fake. Ata CONGO AWA ADF itakuja kujulikana sio Waislam!!!!!
Mkuu binafsi siamini kama US inapambana na Uislam.

Kama ni hivyo basi tayari imeshautawala.
Ni vile wale jamaa wanaangalia maslahi yao, ukiwaingilia maslahi yao basi watafanya kila namna uwe nao njia moja.

Hizo nchi kama Saud Arabia, Misri zote zipo chini yao. Ni Iran na hao Hamass ndio wanaleta upinzani.

Hizo nchi za Africa zimemkataa mmaeekani halafu zinamleta mrusi na mchina, mzee ni yaleyale.

Ukiyaangalia haya mambo kwa mlengo wa kidini utaumizwa na kua manipulated zaidi.
 
Back
Top Bottom