KERO Mbunge wa Mbarali, Bahati Ndigo hii barabara ya Igawa - Rujewa hauioni ilivyo mbovu?

KERO Mbunge wa Mbarali, Bahati Ndigo hii barabara ya Igawa - Rujewa hauioni ilivyo mbovu?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Toga

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2015
Posts
586
Reaction score
604
Kichwa Cha habari kinajieleza hapo juu jamani ukweli acha usemwe tu barabara ya Rujewa - Igawa ni mbovu mbovu sana mashimo kila shemu

Jamani tunaumiza vyombo vyetu da hii barabara ni KERO jamani hebu iangalieni kwa jicho la huruma mbona nikipande kifupi sana

Pia soma
- Barabara ya Igawa-Mbeya, inajirudia kuwa a Hell Run!

rujewa.PNG
 
HATUIONI.MMESHACHUKUA YENU NA SISI TUCHUKUE YETU.
 
Back
Top Bottom