Mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Sugu amvisha pete ya uchumba Happy

Mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Sugu amvisha pete ya uchumba Happy

Huu ujinga wa kumpigia magoti mwanamke wakati wa kumvalisha pete ya uchumba mmeutowa wapi?

Mtumwa haachi asili ya bwanake hata siku moja.
Na huyo mwanamke nae ndondocha kukubali huo upuuzi, tazama mwanamke mwenye msimamo...

 
Na wewe una wivu wa kike kapigwa mimba mwingine kichefuchefu unapata wewe, sio bure utakuwa shoga wewe! ulitaka muhishimiwa auziwe mbuzi kwenye gunia ? jinga kabisa fyuuuu!
Nadhani wewe umelelewa katika misingi ya chokraa na sio misingi ya kidini,siwezi kubishana na mal..ya kama wewe
 
Maandalizi ya kupasha kiporo eti mchumba!!! Mchumba mkewe? Keshamjaza kitumbo ndiii eti mchumba. Semeni mandalizi ya kupasha kiporo
 
Mwanaharakati Sugu....! Bravooo.
Ila hapo kwenye kumpigia magoti mwanamke, it ain't good. Ufala huo.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom