Mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Sugu amvisha pete ya uchumba Happy

Juzi kwenye Jukwaa LA mapenzi, Ulimsema vibaya jamaa mmoja kwa uandishi wake mbovu., ukahoji km kweli jamaa kapita shule, kumbe na ww ni wale wale

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweli.

Mimi husahihisha sana sana kwenye makosa ya R na L tu.

Isitoshe, kuna uandishi mbaya na kuna "styles" za kuandika. Usichanganye,
 
Ashakumu si matusi..kimtazamo huyu dada na sugu hawaendani!Kuna uwezekano sugu kachungulia fursa..Mtazamo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Waja wa mwenyezi Mungu...... Huyo dada anakasoro gani? Sugu anaoa m'mke aliyemchagua yeye sio kwa ajili ya kuwaridhisha Waja.
Ndio unakuta mtu anaoa mwanamke mzuri mwenye chura kubwa..... Halafu nje anachepuka na mwanamke wa kawaida, Kumbe alioa yule ili kuwaonyesha watu kwamba ana mke mrembo
 
Sugu mwehu kwel safari hii kaamua kutafuta wanayolingana nayo kimo,hajui ataharibu kzazi
 
Huu ujinga wa kumpigia magoti mwanamke wakati wa kumvalisha pete ya uchumba mmeutowa wapi?

Mtumwa haachi asili ya bwanake hata siku moja.
utabaki hivohivo na UFOXY wako
Wakukupigia goti jizee zima wewe hata bwana wa kudanga...[emoji12] atatokea wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…