muvangulumemile
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 686
- 966
Unaumwa wewe2025 imechangamka sana, sugu afute wazo la kurudi mbeya mjini
Huwa unasoma vizuri au unakurupuka. Soma mstali wangu wa pili. Nimesema wazi Sugu hawezi mshinda Tulia Akson Mbeya mjini. Acha uvivu Soma sentesi ueleweHujui kitu, Sugu alishajisalimisha ccm muda mrefu tu, na hana uwezo wa kupambana na tulia ackson, hata sugu mwenyewe analitambua hilo
#NoReformNoElection2025 imechangamka sana, sugu afute wazo la kurudi mbeya mjini
AaaaaaaaahMh sio CHF izo za kuishia vituo vya afya vya mtaa
ila usisahau kw penart huwa haina star, siku ya uchaguz ndo 2tajua.Ila ubunge mtamu sana,ni kucheza tu na akili za unaowawakilisha...