Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hivi ndivyo ilivyokuwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana kamandaKama hao ndio maelfu basi mikutano ya Lowasa ilikuwa inakusanya mabilioni ya watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdude anacheo gani huko mbeyaKaribu sana kamanda
Duh...!, kumbe bado ipo angalau hadi October 2020, baada ya hapo, kuendelea kuwepo ni majaliwa!.Bravo Mh Haonga,halafu wajinga wanasema Chadema haipo....jinga kabisa hawa maccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ofisa wa kanda ya Nyasa anayehusika na sera na mafunzoMdude anacheo gani huko mbeya
Ni ofisa wa kanda ya Nyasa anayehusika na sera
Shetani hajawahi kumshinda Mungu , hata kama ibada itaongozwa na PengoDuh...!, kumbe bado ipo angalau hadi October 2020, baada ya hapo, kuendelea kuwepo ni majaliwa!.
PJe, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili bandiko kuihusu Chadema, as a representative wa upinzani kwa huku Tanzania Bara, vipi kuhusu Chadema...www.jamiiforums.com
kwanini umemuita mgambo ?
Tunao mpango mkubwa zaidi wa kuwatumia kwenye vitengo vingineNiliumia sana huyu jamaa na malisa walivyoshindwa bavicha taifa walikua wanafaa sana
Karibu sana mkuu
Umri wa miaka kumi na hajawahi hata kuishi kwenye nyumba mwenyeweMimi nashangaa mtu ametawala miaka 60 lakini anaogopa aliyetawala miaka 10
Hao kazi yao ni kupiga domo kwenye social media, ndani ya chama hawaaminiki!Niliumia sana huyu jamaa na malisa walivyoshindwa bavicha taifa walikua wanafaa sana