Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Kakamilisha tu,wanaishi wote tokea muda mrefu tuKaoa akiwa mkubwa sana. Mimi kipindi nikiwa kidato cha kwanza yeye alikuwa kijana mkubwa kabisa. Nimekua nimeoa yeye ndo amekuja kuoa.
Hongera zake.
Kakamilisha tu,wanaishi wote tokea muda mrefu tu
Kwani kuoa kuna umri maalumKaoa akiwa mkubwa sana. Mimi kipindi nikiwa kidato cha kwanza yeye alikuwa kijana mkubwa kabisa. Nimekua nimeoa yeye ndo amekuja kuoa.
Hongera zake.
Kuwahi kuoa na kuolewa ni tabia ya jamii masikini.Kaoa akiwa mkubwa sana. Mimi kipindi nikiwa kidato cha kwanza yeye alikuwa kijana mkubwa kabisa. Nimekua nimeoa yeye ndo amekuja kuoa.
Hongera zake.
Wewe ndio house girl waoKakamilisha tu,wanaishi wote tokea muda mrefu tu
Kuwahi kuoa na kuolewa ni tabia ya jamii masikini.
Kwani kuoa kuna umri maalum
tena wana kabinti kakubwa tuKakamilisha tu,wanaishi wote tokea muda mrefu tu
Kuandaliwa maisha mazuri na wazazi si kigezo cha kuoa.Mimi wazazi wangu waliniandalia maisha mazuri kwahiyo sikuchelewa kuoa. Hata marafiki zangu vivyo hivyo.