Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Sio kinyume chake chief...
Jamii za masikini hazina cha kufanya baada ya balehe, hazina shule wala biashara, hazina namna ya kujiliwaza, zinawahi kulala kwa sababu hazina umeme, zikiwahi kulala zinakuwa pweke, zinawahi kuoa.

Jamii masikini zimejikita katika kutegemea uchumi wa kijima unaotaka watoto kama nguvukazi, hivyo kuoa mapema ni tija katika jitihada za kuongeza watoto watakaokuja kuwa watumwa wa wazazi wao kama nguvukazi rahisi.Hususan katika kilimo cha kijima.

Jamii tajiri zinasisitiza elimu.Watu wanasoma sana. Kusoma sana kunachelewesha kuoa/kuolewa.

Kuna jamii fulani ni masikini wa matajiri. Hawa ni masikini wa mjini. Lumpen ploretariat.

Hawana mashamba ya kulima wala hawawezi kumudu kuoa na kuzaa mapema.

Hawa ndio wanaochanganya sana watu kufikiri kwamba kuwahi kuoa ni alama ya kuwa na uwezo.
 
Kuwahi kuoa na kuolewa ni tabia ya jamii masikini.
Na ndio chanzo kikuu cha umasikini kwa watu masikini, ile circle of poverty haiwaondoki.

Masikini wengi huwahi kuoa au kuolewa na hua na familia kubwa sana, wengi huwachukulia watoto kama non current assets, hivyo huzaa watoto wengi kwa imani kwamba hajui yupi atakuja kumsaidia.

Ukiishi mitaa ya uswahilini au kwa watu wenye kipato cha chini kisha ukafikisha miaka 25 hujaoa au huna mtoto unaonekana wa ajabu sana.
 
na huyu mke tayari alishajijua ndio ataolewa maana hakuacha kujiita Mukee ya Profesa jey,Anyway karibu kwenye chama chetu Joseph Haule!
Vijana wengi wanaogopa hiyo hatua
 
Na ndio chanzo kikuu cha umasikini kwa watu masikini, ile circle of poverty haiwaondoki.

Masikini wengi huwahi kuoa au kuolewa na hua na familia kubwa sana, wengi huwachukulia watoto kama non current assets, hivyo huzaa watoto wengi kwa imani kwamba hajui yupi atakuja kumsaidia.

Ukiishi mitaa ya uswahilini au kwa watu wenye kipato cha chini kisha ukafikisha miaka 25 hujaoa au huna mtoto unaonekana wa ajabu sana.
Nashukuru kuona kuna watu wanaliona hili.
 
Jamii za masikini hazina cha kufanya baada ya balehe, hazina shule wala biashara, hazina namna ya kujiliwaza, zinawahi kulala kwa sababu hazina umeme, zikiwahi kulala zinakuwa pweke, zinawahi kuoa.

Jamii masikini zimejikita katika kutegemea uchumi wa kijima unaotaka watoto kama nguvukazi, hivyo kuoa mapema ni tija katika jitihada za kuongeza watoto watakaokuja kuwa watumwa wa wazazi wao kama nguvukazi rahisi.Hususan katika kilimo cha kijima.

Jamii tajiri zinasisitiza elimu.Watu wanasoma sana. Kusoma sana kunachelewesha kuoa.

Kuna jamii fulani ni masikini wa matajiri. Hawa ni masikini wa mjini. Lumpen ploretariat.

Hawana mashamba ya kulima wala hawawezi kumudu kuoa na kuzaa mapema.

Hawa ndio wanaochanganya sana watu kufikiri kwamba kuwahi kuoa ni alama ya kuwa na uwezo.
Duh!
 
Yes mkuu, I mean kuoa sio kubariki ndoa.

Prof. Jay hapo kabariki ndoa. There is no way mtu wa umri wake awe hajaoa, labda awe na tatizo.
Mawazo ya kizamani kabisa....aliyekudanganya kuoaa kunaendana Na umri ni nini...? Kuoa au kuolewa hakuna umri....ni utayari wa mtu kumudu taasisi ya Ndoa...Sasa utayari huo hauitaji umri...

Kuna mda ukifika wa maturity kuoa kunakuwa ni automatically...

Ndoa nyingi zinavunjika kwakuwa watu wanakurupuka kuoa kwa mkumbo wa umri kumbe hawajawa tayari kuendesha taasisi hiyo ya ndoa
 
Wesha fanya Zinaa sana, basi wanatakuwa kutubu maana kwa uzee huo alinao.
Hayo mambo yenu si kila mtu anayaamini.

Wewe hapa unapiga punyeto la kitaaluma kwa kuwanyanyapaa kwa elimu finyu watu wasiokujua wala kukujali unafikiria nini.

Unajuaje kwamba hawajaoana kwa mila zao awali na sasa wanafanya sherehe ya wazi tu?

Ushaambiwa mama alikuwa anajiita mke wa Profesa Jay.
 
Mawazo ya kizamani kabisa....aliyekudanganya kuna kuna kunaendana Na umri ni nini...? Kuna au kuolewa hakuna umri....ni utayari wa mtu kumudu taasisi ya Ndoa...Sasa utayari huo hauitaji umri...

Kuna ukifika wa maturity kuna kuna kuna ni automatically...

Ndoa nyingi zinavunjika kwakuwa watu wanakurupuka kuna kwani mkumbo Na umri number hawajawa tayari kuendesha taasisi huo ya ndia

Mbona umeshajijibu mwenyewe mkuu? Kama kuoa ni maturity kama unavyodai, ukichelewa lazima jamii ikushangae kwa kuchelewa ku-Mature.
 
Katika jamii masikini mtu akiamua kutooa/olewa ana matatizo.

Kumbe kuna wengine maisha yao wameamua kutafuta dawa ya kansa tu.
Huyu jamaa anayejiita Al-Watan n Mpumbavu kweli. Ameng'ang'ania tu jamii maskini ...je kwenu n matajiri...?

Wewe jifanye tajiri uendelee kipiga master besheni/ puru umalize sabuni vizuri
 
Hahahaha..

Mkuu usiwe una-comment tuu uli Na wewe uonekane una-comment

Umeelewa mantiki ya hiyo post...?

Sasa kama kutafuta hiyo dawa ya cancer ndo kumewafanya wasioe/wasiolewe, hiyo cancer isingekuwepo si wangeoa/kuolewa?

Tatizo hapo ni hiyo cancer ndiyo maana wameamua wasioe/kuolewa ili waitafute dawa yake.
 
Back
Top Bottom