Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Yes, ukioa una zaidi ya miaka 40 mpaka mtoto aanze shule ya msingi na kumaliza baba utakuwa na umri gani? Kama si zaidi ya 60,si itakuwa babu na mjukuu?sio baba na mwana! Kuoa mapema muhimu, wakati unawaza kuzaa na kulea wenzako watakuwa wamemaliza na kizazi kunyauka/kusinyaa,ila kula raha wataendelea,sio kuwaza kuzaa.
Kipindi ninavyowafahamu ni kile cha teenage wakati huo wako 15-16 ndiyo nyumbani mziki kwa sana na wewe ni retired unataka kupumzika.
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Tatizo huji kusoma, kwa sababu umewahi kuoa na hujaenda shule.

Ungejua kusoma ungejua nilichoandika na ulichosoma ni vitu viwili tofauti.
Dogo hakuelew yeye amekurupuka kujibu kua mtu ana kansa.

Mtu unashinda maktaba au maabara ukitafiti jambo hasa lenye matokeo chanya kwa watu wengi na kuacha jina, utapata wapi muda wa kuwaza kuoa au kuzaa mapema uko maabara mara sim inaita mtoto anaharisha sijui amekuaje na mambo ya ajabu ajabu.

Wakati wengine wanataka kuacha majina hasa yenye matokeo chanya kwa kugundua tiba ya gonjwa linalotishia uwepo wa uhai mtu mwingine anawaza mbunye na kuwahi kuzaa na kuoa.

Watu masikini tu na wasio na elimu ndio wanaona ndoa na familia ndio faraja yao pekee.
 
Dogo hakuelew yeye amekurupuka kujibu kua mtu ana kansa.

Mtu unashinda maktaba au maabara ukitafiti jambo hasa lenye matokeo chanya kwa watu wengi na kuacha jina, utapata wapi muda wa kuwaza kuoa au kuzaa mapema uko maabara mara sim inaita mtoto anaharisha sijui amekuaje na mambo ya ajabu ajabu.

Wakati wengine wanataka kuacha majina hasa yenye matokeo chanya kwa kugundua tiba ya gonjwa linalotishia uwepo wa uhai mtu mwingine anawaza mbunye na kuwahi kuzaa na kuoa.

Watu masikini tu na wasio na elimu ndio wanaona ndoa na familia ndio faraja yao pekee.
Sasa huyo hata kusoma sentensi ndogo tu tabu.

Nikianza kumporomoshea Hegelian dialectics zinavyoingia katika second law of thermodynamics na kurudi kwenye Malthusian malfeasance ataelewa vipi?

Atalewa badala ya kuelewa!
 
Una miaka 46 mwanao ana mwaka mmoja na nusu,khaaaa zaa mapema ulee mapema upumzike,hongera zake
 
Jamii domo zege wanajiita matajiri eti hawataki kuoa...... kazi kununua miche ya sabuni every week..... ww mtu mzima ulishafika miaka 28+ inabidi uoe

Lani mwisho wasiku watoto wako watakuita babu

Mtoto wako akimaliza degree ya kwanza wewe upo 78 age [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hata hufaidi matunda ya watoto

Endelea kujiita tajiri..

Acha sisi maskini tuzae viongozi
Huna akili kabisa. Ukishafikisha miaka 28+ inabidi uoe?
 
Yaani ule ni mtazamo wangu tu maisha haya na formula. Wewe hata kama science na tech za unyamwezini ziko advance JZ akifika 67 ndiyo kwanza map acha wana 20. Huyo ni babu. Alafu unajua tabia za teenagers zinavyosumbua sasa mzee wa 67 anarudiwa asubuhi watoto wanetoka club. Ni pressure tupu.
Kwa hiyo Mengi aliezaa ana miaka karibu 80 amekosea?
 
Una miaka 46 mwanao ana mwaka mmoja na nusu,khaaaa zaa mapema ulee mapema upumzike,hongera zake
Ni umasikini tu na ukosefu wa shule, masikini ndio wanajifariji kua wahi kuoa uwahi kulea ili uwahi kupumzika.

Maana yake ni kua miaka ya 20 wakati una nguvu za kubeba zege uzae ili mtoto aanze shule mapema ili ukifikisha miaka 45 uwe umemaliza kumsomesha angalau hadi sekondari za bure maana nguvu zako zitakua zimeisha na hutakua tena na nguvu za kutafta pesa kwa kutumia nguvu ili yeye mwanao sasa aanze maisha ili ukifika 60 umechoka akusaidie.


Haya ni mawazo ya kimasikini kabisa. Jay-Z kazaa juzi hapa hata wiki 2 hazijaisha ana miaka 47, je amekosea? Mengi kazaa ana miaka karibu 80, je amekosea?
 
Kama umekwenda shule vizuri Ukiwa na miaka 25, u memaliza first degree na una ajira unaweza kuoa. Mtoto wa kwanza ukimzaa na umri wa 26, ikiwezekana 36 umeshavutamasters na mtoto ana miaka 10. Ukiwa 46, mtoto yuko university unampa support, 56 mtoto anaweza kuoa na wewe ukacheza na wajukuu zakof.

Maisha haya na formula.
Heheheheheh
 
Jamii domo zege wanajiita matajiri eti hawataki kuoa...... kazi kununua miche ya sabuni every week..... ww mtu mzima ulishafika miaka 28+ inabidi uoe

Lani mwisho wasiku watoto wako watakuita babu

Mtoto wako akimaliza degree ya kwanza wewe upo 78 age [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hata hufaidi matunda ya watoto

Endelea kujiita tajiri..

Acha sisi maskini tuzae viongozi
Nimesoma hii comment, kweli chain of poverty haiwezi kukatika kusini mwa jangwa la Sahara, karne ya 21 kijana mdogo anawaza kukimbilia kuzaa Ili mtoto aje kumsaidia Na Kula matunda... Madhara yake mtoto badala afikirie future yake anaanza kubebeshwa mizigo
 
Kaoa akiwa mkubwa sana. Mimi kipindi nikiwa kidato cha kwanza yeye alikuwa kijana mkubwa kabisa. Nimekua nimeoa yeye ndo amekuja kuoa.

Hongera zake.
Nae alianza muziki akiwa mdogo sana.
 
Dogo hakuelew yeye amekurupuka kujibu kua mtu ana kansa.

Utanifanya niandike maandishi mengi na nitumie nguvu nyingi niache kufanya mambo mengine.

Niliandika kifupi nikihisi ningeeleweka ila naona imekuwa ngumu kueleweka.

Niliandika hakuna mtu anayeweza kufika umri wa Prof. Jay asiwe ameoa labda awe/kuwe na tatizo. Nikajibiwa wengine wanaamua kutokuoa kwasababu wameamua kutafuta dawa ya saratani.

Nilichoandika ni kwamba kama ni hivyo basi hiyo saratani ndo tatizo lenyewe. Nikiwa na maana kwamba kama hiyo saratani isingekuwepo hao watu wasingeingia maabara kuitafuta hiyo dawa ya saratani hivyo wangeoa/kuolewa.

Hapakua na haja ya kuandika maandishi mengi hivi ili nieleweke.
 
Mbona umeshajijibu mwenyewe mkuu? Kama kuoa ni maturity kama unavyodai, ukichelewa lazima jamii ikushangae kwa kuchelewa ku-Mature.
Na ukiwahi then ukaharibu ni hiyo hiyo jamii itakayokushangaa pia. Kufanya mambo kwa kuimpress jamii unakuwa unaishi maisha yasiyo yako.
 
Ni umasikini tu na ukosefu wa shule, masikini ndio wanajifariji kua wahi kuoa uwahi kulea ili uwahi kupumzika.

Maana yake ni kua miaka ya 20 wakati una nguvu za kubeba zege uzae ili mtoto aanze shule mapema ili ukifikisha miaka 45 uwe umemaliza kumsomesha angalau hadi sekondari za bure maana nguvu zako zitakua zimeisha na hutakua tena na nguvu za kutafta pesa kwa kutumia nguvu ili yeye mwanao sasa aanze maisha ili ukifika 60 umechoka akusaidie.


Haya ni mawazo ya kimasikini kabisa. Jay-Z kazaa juzi hapa hata wiki 2 hazijaisha ana miaka 47, je amekosea? Mengi kazaa ana miaka karibu 80, je amekosea?
Kipimo cha umasikini ni kipi? Na tajiri ni yupi hapo Jay Zee au Mengi? Wajinga wanapima utajiri kwa mali alizo nazo,hapa ndio ujinga wako ulipolala,unajua watoto wa meng wewe,,mtafute mtoto mmoja wa mengi anaitwa Bonita mwambie Xav Bero anamsalimia halaf urud hapa kunyoosha maelezo yako,,,kam umemjua meng baada ya kuanza kumbandua Jack sikushangai
 
Dogo hakuelew yeye amekurupuka kujibu kua mtu ana kansa.

Mtu unashinda maktaba au maabara ukitafiti jambo hasa lenye matokeo chanya kwa watu wengi na kuacha jina, utapata wapi muda wa kuwaza kuoa au kuzaa mapema uko maabara mara sim inaita mtoto anaharisha sijui amekuaje na mambo ya ajabu ajabu.

Wakati wengine wanataka kuacha majina hasa yenye matokeo chanya kwa kugundua tiba ya gonjwa linalotishia uwepo wa uhai mtu mwingine anawaza mbunye na kuwahi kuzaa na kuoa.

Watu masikini tu na wasio na elimu ndio wanaona ndoa na familia ndio faraja yao pekee.
Mkuu upo sahihi.

Nimefanikiwa kufanya kazi na watu weupe hapa bongo.

Wengi wao huoa wakiwa na 35+

Sasa hapa bongo ukifika 30 tu hujaoa ni tatizo
 
white weddings tumeletewa sio utamaduni wetu... na wanawake kupenda show offs zenu ndio zimesababishwa watu wengi wachelewe kuoa....

prof jay na mama lisa wako pamoja zaid ya miaka 10 na wamejenga nyumba yao wenyewe before jay hajawa mbunge..

sasa sasa hivi wana hela maisha mazuri ndio wameona ni wakati sahihi ya kufanya harusi yao ya kizungu kwa jinsi wanavyotaka..


mtoto wao yupo sekondari.. na si ajabu wazazi wake ni vijana kuliko wa kwako kwa umri wake maana walimzaaa in their 20s

harusi safiii haina stress za mchango wala njaaa njaaa..

si unaoa unaenda panga chumba kimoja uswahilini unateseka na madeni









Kama umekwenda shule vizuri Ukiwa na miaka 25, u memaliza first degree na una ajira unaweza kuoa. Mtoto wa kwanza ukimzaa na umri wa 26, ikiwezekana 36 umeshavutamasters na mtoto ana miaka 10. Ukiwa 46, mtoto yuko university unampa support, 56 mtoto anaweza kuoa na wewe ukacheza na wajukuu zakof.

Maisha haya na formula.
 
Kama umekwenda shule vizuri Ukiwa na miaka 25, u memaliza first degree na una ajira unaweza kuoa. Mtoto wa kwanza ukimzaa na umri wa 26, ikiwezekana 36 umeshavutamasters na mtoto ana miaka 10. Ukiwa 46, mtoto yuko university unampa support, 56 mtoto anaweza kuoa na wewe ukacheza na wajukuu zakof.

Maisha haya na formula.

Mkuu Sky Eclat, inavyoonekana Prof. Jay alishaoa miaka mingi sana. Ninahisi tunachochanganya hapa ni maana ya ndoa. Watu wengi tunaichukulia ndoa ni hadi kwenda kanisani.

Siku utakayotoka kwenu ukaenda kuanzisha maisha na mwenzako hiyo ni ndoa tayari. Prof. Jay kwa maelezo ya wadau humu alishaishi na huyu mwanamke miaka mingi. Walichofanya ni kubariki ndoa kanisani. Huwezi kuoa mtu uliyekuwa unalala naye kitanda kimoja miaka yote hiyo.

Mimi nilijua hakuwa anaishi na mtu kwahiyo ametafuta mchumba akaoa. Kwa alichokifanya ni sawa kabisa na alienda sawa na muda.
 
Back
Top Bottom