Nondoh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 298
- 478
Huo
Huo Ni uoga WA maisha, Kama ndo hivyo mababu Na mabibi wasingelea wajukuu zao. Ukweli kuwahi kuoa Ni fikra za watu mafukara, mwanaume mwenye akili hupaswi kuwa hivyo, unakimbilia nini kufuga ng'ombe wakati maziwa madukani yapo tele, au kuna wanaume wana tatizo la menopause so wanakimbizana Na muda. Mwanaume anapaswa kuzitafuta mtoto akija duniani avikute sio vimkuteKipindi ninavyowafahamu ni kile cha teenage wakati huo wako 15-16 ndiyo nyumbani mziki kwa sana na wewe ni retired unataka kupumzika.