Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Inamaana Halima kasusa kumpa support Prof. J? Mbona hajahudhuria?
 
Hahah aisee wazazi wa kiafrica ndo mawazo yao hayo,nilidhani pengine sababu wazazi wa miaka hio sababu hawakua na elimu ndo walikua wanazaa kwa staili hio.

Ila nimekuja kushangaa hata jamii yetu ya vijana waliosoma mtindo wa uzaaji ni ule ule tu.
Huku kusini mwa jangwa la Sahara kwa sasa wasomi Ni wengi Sana Na mavyeti kibao ukitaka wanakupa tena certified lakini kumkuta kijana msomi Ana think professionally Ni ngumu kweli, hata kuwatofautisha Na wasiosoma Ni vigumu Sana. Kila penye vijana wasomi 100 unaweza mkuta Ni mmoja Tu ndio elimu imemkomboa kifikra au usimkute kabisa Na ukitaka kuamini tumia sample ya wanaokomenti humu. Kijana msomi badala ya kufikiri namna ya kuzi invest nguvu zake za sasa zije kumsaidia akizeeka anawaza kuoa haraka haraka Ili azae mapema mtoto aje kumsaidia akizeeka, matokeo yake kijana amemaliza Tu shule anakabidhiwa wadogo zake aanze kuwasomesha, huku Ni kubebeshana misalaba kwa uzembe. Leo wale watoto mapacha WA mengi wana bright future kuliko watoto WA kijana msomi WA miaka 25 anayewaza kuzaa badala kuwaza Nini cha kufanya ili baadae kimsaidie yeye na kizazi chake kijacho
 
Kaoa akiwa mkubwa sana. Mimi kipindi nikiwa kidato cha kwanza yeye alikuwa kijana mkubwa kabisa. Nimekua nimeoa yeye ndo amekuja kuoa.

Hongera zake.

Na inawezekana vile vile Wewe ukawa umewahi Kuoa kabla yake lakini bado mpaka sasa ukawa ni masikini / choka mbaya kuliko Yeye aliyeoa leo japo Mzee lakini ana mtonyo / pesa ya maana na bado pia ni Mheshimiwa Mbunge.
 
Huku kusini mwa jangwa la Sahara kwa sasa wasomi Ni wengi Sana Na mavyeti kibao ukitaka wanakupa tena certified lakini kumkuta kijana msomi Ana think professionally Ni ngumu kweli, hata kuwatofautisha Na wasiosoma Ni vigumu Sana. Kila penye vijana wasomi 100 unaweza mkuta Ni mmoja Tu ndio elimu imemkomboa kifikra au usimkute kabisa Na ukitaka kuamini tumia sample ya wanaokomenti humu. Kijana msomi badala ya kufikiri namna ya kuzi invest nguvu zake za sasa zije kumsaidia akizeeka anawaza kuoa haraka haraka Ili azae mapema mtoto aje kumsaidia akizeeka, matokeo yake kijana amemaliza Tu shule anakabidhiwa wadogo zake aanze kuwasomesha, huku Ni kubebeshana misalaba kwa uzembe. Leo wale watoto mapacha WA mengi wana bright future kuliko watoto WA kijana msomi WA miaka 25 anayewaza kuzaa badala kuwaza Nini cha kufanya ili baadae kimsaidie yeye na kizazi chake kijacho
Mkuu hii ndio shida inayokabili wasomi wetu. Mtu kasoma na anajiita msomi ila bado hajaelimika. Elimu imebaki kwenye mavyeti ila kichwani haipo.

Mtu anajiita msomi kabisa ila akili yake kama ya wazee wetu wengi ambao hawakupata shule ya kubwa.

Ukikuta msomi anakwambia anataka awahi kuzaa ili akifika miaka 55 watoto wawe wamemaliza chuo kikuu ili wapate kazi waanze kumsaidia akistaafu basi ujue huyo hakujipanga na elim haijamsaidia.

Wanafanya watoto kama mtaji wa baadae utakaokuja kuwasaidia. Sasa unakuta mtoto anasoma huku ana mzigo wa wazazi wake nyuma ambao wanamtegemea akimaliza kusoma tu atafte kazi aanze kuwasaidia.

Matokeo yake mtoto nae anaishi maisha yale yale ya wazazi wake, kipato kile kile, mwisho wa siku umasikini hauondoki kwenye familia.
 
Kaoa akiwa mkubwa sana. Mimi kipindi nikiwa kidato cha kwanza yeye alikuwa kijana mkubwa kabisa. Nimekua nimeoa yeye ndo amekuja kuoa.

Hongera zake.

Hata kama angeoa na 60 yrs..Hapangiwi..kuoa hakuna umri.Ni maamuzi yake
 
Sasa huyo hata kusoma sentensi ndogo tu tabu.

Nikianza kumporomoshea Hegelian dialectics zinavyoingia katika second law of thermodynamics na kurudi kwenye Malthusian malfeasance ataelewa vipi?

Atalewa badala ya kuelewa!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tabu ni pale unaposema sijaoa halafu unaisha na Mtu kama mke na watoto mmezaa halafu siku za mbele unakuja kufunga ndoa takatifu! ni bora kuoa mapema kuliko kuishi hivyo.
Ni mbaya kwa mtazamo wako ila ni approach nzuri sana in case hutaki kukurupuka. Mwanamke ambae atakubali kuishi na wewe mkajipanga ndio mke haswaa sio wale ambao uchumba wa mwaka mnang'ang'ania ndoa ili muwaoshee mashoga zenu.
 
Back
Top Bottom