Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Kama umekwenda shule vizuri Ukiwa na miaka 25, u memaliza first degree na una ajira unaweza kuoa. Mtoto wa kwanza ukimzaa na umri wa 26, ikiwezekana 36 umeshavutamasters na mtoto ana miaka 10. Ukiwa 46, mtoto yuko university unampa support, 56 mtoto anaweza kuoa na wewe ukacheza na wajukuu zakof.

Maisha haya na formula.

humu ndio nilipopitia mie!Mke mzuri,mahesabu mazuri Mungu anajalia
 
Tabia nyingine ya jamii masikini nikupenda kupangiana maisha na kuhukumiana kwa formula za haraka haraka bila hata ya kujua habari kamili za jambo.

Uswazi watu wanachunguzana moaka kufungua kapu la taka kuona nani kala mayai na nani kala dagaa kauzu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Aisee nyamaza, unazidi kuharibu tu!

Kivipi?

Hiyo saratani isingekuwepo hao walioamua kuacha kuoa/kuolewa ili waingie maabara kufanya tafiti za dawa ya saratani wangeoa/kuolewa. Tatizo ni hiyo saratani.

Nasisitiza tena, huwezi kufika umri wa Prof. Jay usiwe umeoa labda kuwe/uwe na tatizo.
 
Kivipi?

Hiyo saratani isingekuwepo hao walioamua kuacha kuoa/kuolewa ili waingie maabara kufanya tafiti za dawa ya saratani wangeoa/kuolewa. Tatizo ni hiyo saratani.

Nasisitiza tena, huwezi kufika umri wa Prof. Jay usiwe umeoa labda kuwe/uwe na tatizo.
Okay!
 
Yes mkuu, I mean kuoa sio kubariki ndoa.

Prof. Jay hapo kabariki ndoa. There is no way mtu wa umri wake awe hajaoa, labda awe na tatizo.

Namfahamu mtu alioa (siyo kubariki ndoa) akiwa na umri wa miaka 45. Sina hakika Prof. Jay ana umri gani.
 
Kuandaliwa maisha mazuri na wazazi si kigezo cha kuoa.

Mtu anaoa kwa mintaarafu ya mustakabali wa maisha yake mwenyewe, si kwa mujibu wa maisha ya kupangiwa na wazazi.

Watu kama wewe mnapangiwa mpaka mke wa kuoa.

Kuna jamii zilizoendelea kiuchumi ambazo zina utajiri wa vizazi na vizazi na bado watu hawawahi kuoa.

Bado hujaelewa kwamba ukiwa katika jamii masikini, kama hujajitoa elements fulani za jamii hiyo, hata ukiandaliwa maisha mazuri na wazazi wako unaweza kuwa bado una shombo la jamii masikini.

Kuwahi kuoa si sifa. Ni alama ya jamii masikini hata kama umeandaliwa maisha mazuri na wazazi wako.
hmmmm!!!!! Kuoa Ni Umasikini au Nimeelewa Vibaya!
 
Kuandaliwa maisha mazuri na wazazi si kigezo cha kuoa.

Mtu anaoa kwa mintaarafu ya mustakabali wa maisha yake mwenyewe, si kwa mujibu wa maisha ya kupangiwa na wazazi.

Watu kama wewe mnapangiwa mpaka mke wa kuoa.

Kuna jamii zilizoendelea kiuchumi ambazo zina utajiri wa vizazi na vizazi na bado watu hawawahi kuoa.

Bado hujaelewa kwamba ukiwa katika jamii masikini, kama hujajitoa elements fulani za jamii hiyo, hata ukiandaliwa maisha mazuri na wazazi wako unaweza kuwa bado una shombo la jamii masikini.

Kuwahi kuoa si sifa. Ni alama ya jamii masikini hata kama umeandaliwa maisha mazuri na wazazi wako.
kati ya ya jamii yako na jamii za Qatar, libya, pemba ipi ni masikini? na wepi wanawahi kuoa kwa mtazamo wako? ..... .............. acha kupotosha umma kiasiri jamii za kiislam zinaoa muda ukishafika, kwanza tambua hakuna kuwahi kuoa wala kuzaa, sababu muda ukishafika wa kubalehe mwanaume aliyepevuka inabidi awe na mke wake.......... usifikiri unachowaza wewe kila mtu anakifanya.

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Al-Watan
Hili jambo nililijadili humu mwaka jana. Wajinga wengi wakapingana na mimi.

Kijana huna haja ya kuharakisha kuoa eti uwahi kupata watoto usije kuitwa babu
inawezekana we ndio mjinga...........mwanaume unayesimamisha unayefanya shughuli zako halali za kukuingizia kipato unaishiji bila mke?, unafanya masturbation?, wewe ni shoga?, wewe haudindishi?, unanunua makahaba?......... kumbuka hizo option zote kwa mtu anayemjua mungu hazimfai ndio mana anaoa, sasa usifikiri kila mtu hamjui mungu kama wewe.

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Sio kwel...waarabu wanaoa na kuolewa wakiwa wadogo na ndio matajiri wengi
Waarabu ni jamii masikini.

Ndiyo maana wana mafuta lakini wanachimbiwa na wageni mpaka leo.

Waarabu ni jamii masikini.

Ndiyo maana wanaamini katika kujilipua lipua mpaka leo.

Waarabu ni jamii masikini.

Ndiyo maana wana chumi zinazotegemea zao moja kwa kiasi kikubwa.

Waarabu ni jamii masikini.

Ndiyo maana wana low literacy levels.

Waarabu ni jamii masikini.

Ndiyo maana nchi zao hazina uhuru wa kujieleza.

Waarabu ni jamii masikini.

Ndiyo maana wana tawala za kidini.

Waarabu ni jamii masikini.

Ndiyo maana mpaka leo nchi kama Saudi Arabia ina utajiri mkubwa wa mafuta lakini kuna watu masikini wanategemea ruzuku za serikali.
 
Back
Top Bottom