Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Mbunge wa Mikumi, Ndg.Joseph Haule aka Prof.J afunga ndoa takatifu

Huyu jamaa anayejiita Al-Watan n Mpumbavu kweli. Ameng'ang'ania tu jamii maskini ...je kwenu n matajiri...?

Wewe jifanye tajiri uendelee kipiga master besheni/ puru umalize sabuni vizuri

Ukweli unauma.

Jamii masikini hukimbilia kuita watu wapumbavu bila kutoa sababu zikiambiwa ukweli.

Halafu ukiziambia ukweli zinakuja na vitu visivyo na logic kama "je kwenu ni matajiri?".

Jamii masikini hazijui kwamba huhitaji kuwa tajiri ili kuona jamii masikini ni jamii masikini na tabia zake za umasikini.
 
Mleta mada vipi umeshawasili Songwe au uko dodoma unasubiri kutoa ushahidi kwenye kesi yako?
 
Mbona umeshajijibu mwenyewe mkuu? Kama kuoa ni maturity kama unavyodai, ukichelewa lazima jamii ikushangae kwa kuchelewa ku-Mature.
Duuh.....naona mimi na wewe ni mbingu na ardhi kuelewana..

Thanks
 
19761353_1391689854200014_8332316049789681664_n.jpg
19764981_150672002157995_233425807475736576_n.jpg
 
Kama umekwenda shule vizuri Ukiwa na miaka 25, u memaliza first degree na una ajira unaweza kuoa. Mtoto wa kwanza ukimzaa na umri wa 26, ikiwezekana 36 umeshavutamasters na mtoto ana miaka 10. Ukiwa 46, mtoto yuko university unampa support, 56 mtoto anaweza kuoa na wewe ukacheza na wajukuu zakof.

Maisha haya na formula.
 
Ukweli unauma.

Jamii masikini hukimbilia kuita watu wapumbavu bila kutoa sababu zikiambiwa ukweli.

Halafu ukiziambia ukweli zinakuja na vitu visivyo na logic kama "je kwenu ni matajiri?".

Jamii masikini hazijui kwamba huhitaji kuwa tajiri ili kuona jamii masikini ni jamii masikini na tabia zake za umasikini.
Jamii domo zege wanajiita matajiri eti hawataki kuoa...... kazi kununua miche ya sabuni every week..... ww mtu mzima ulishafika miaka 28+ inabidi uoe

Lani mwisho wasiku watoto wako watakuita babu

Mtoto wako akimaliza degree ya kwanza wewe upo 78 age [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hata hufaidi matunda ya watoto

Endelea kujiita tajiri..

Acha sisi maskini tuzae viongozi
 
Sasa kama kutafuta hiyo dawa ya cancer ndo kumewafanya wasioe/wasiolewe, hiyo cancer isingekuwepo si wangeoa/kuolewa?

Tatizo hapo ni hiyo cancer ndiyo maana wameamua wasioe/kuolewa ili waitafute dawa yake.

Mkuu Otorong'ong'o ninaomba mwongozo wako hapa.

Niliandika kifupi nikihisi ningeeleweka kirahisi ila nahisi umenielewa ndivyo sivyo.
 
Nashukuru kuona kuna watu wanaliona hili.
Mkuu haya mambo mimi nimeyaona toka kitambo sana. Ni familia chache sana zenye elimu na kipato utakuta mtu amewahi kuoa au kuolewa, wengi ni masikini na wa kipato cha chini sana.

Mwaka flani ckassmate wangu alichaguliwa kusoma chuo kikuu baada ya kujiendeleza huko alikokua maana alienda ualim baada ya kumaliza sekondari. Sasa akafikia kwangu kwa muda, nilikua nimepanga mtaa mmoja kodi ya nyumba kwa mwezi ni sawa na mshahara wake wa miezi 2.

Yeye wakati huo ana watoto 3 na mke wake ana mimba ya mtoto wa 4. Akakaa kama miezi 4, huo mtaa ni wa watu wa kupato cha kati na kikubwa.

Siku moja akaniambia toka amekaa hapo amebahatika kuona watoto wachache sana wa shule za msingi na sekondari katika huo mtaa tofauti na mtaa mwingine ambapo alikua anaishi baba yake mdogo kuna shule za msingi 3, sekondari za serikali 4 na idadi ya watoto umri wa shule ni kubwa sana.

Akaniambia amejifunza kua watu wenye kipato na elimu hawana familia kubwa au hawana kabisa tofauti na watu masikini. Akasema amegundua kua na familia kubwa mapema kumemrudisha nyuma sana na angejua asingeoa mapema, akasema hatakuja kumshauri ndogo wake au mwanae awahi kuoa.

Nikashukuru kua huyo mtu amepata mwanga na inawezekana akawasaidia na wengine kuona mambo kw amtazamo huo.

Ni kweli kua umasikini unachangia sana watu kuwahi kuingia kwenye ndoa maana baada ya balehe hawana cha kufanya, kwa hiyo mtu kwenye late teens au early twenty ana mke na mtoto, ni wachache sana wanafika 30s bila kua na ndoa.
 
Nd
Yes mkuu, I mean kuoa sio kubariki ndoa.

Prof. Jay hapo kabariki ndoa. There is no way mtu wa umri wake awe hajaoa, labda awe na tatizo.
Ndio ulivyo kariri
 
Kama umekwenda shule vizuri Ukiwa na miaka 25, u memaliza first degree na una ajira unaweza kuoa. Mtoto wa kwanza ukimzaa na umri wa 26, ikiwezekana 36 umeshavutamasters na mtoto ana miaka 10. Ukiwa 46, mtoto yuko university unampa support, 56 mtoto anaweza kuoa na wewe ukacheza na wajukuu zakof.

Maisha haya na formula.
Unataka kumaanisha kua Jay-Z ambae amepata mtoto wake wa kwanza akiwa 44 na wa pili juzi akiwa 47 hatakuja kucheza na wajukuu zake?

Lakini pia mstari wa mwisho kwenye bandiko lako unakinzana na bandiko lako lote.
 
Mkuu haya mambo mimi nimeyaona toka kitambo sana. Ni familia chache sana zenye elimu na kipato utakuta mtu amewahi kuoa au kuolewa, wengi ni masikini na wa kipato cha chini sana.

Mwaka flani ckassmate wangu alichaguliwa kusoma chuo kikuu baada ya kujiendeleza huko alikokua maana alienda ualim baada ya kumaliza sekondari. Sasa akafikia kwangu kwa muda, nilikua nimepanga mtaa mmoja kodi ya nyumba kwa mwezi ni sawa na mshahara wake wa miezi 2.

Yeye wakati huo ana watoto 3 na mke wake ana mimba ya mtoto wa 4. Akakaa kama miezi 4, huo mtaa ni wa watu wa kupato cha kati na kikubwa.

Siku moja akaniambia toka amekaa hapo amebahatika kuona watoto wachache sana wa shule za msingi na sekondari katika huo mtaa tofauti na mtaa mwingine ambapo alikua anaishi baba yake mdogo kuna shule za msingi 3, sekondari za serikali 4 na idadi ya watoto umri wa shule ni kubwa sana.

Akaniambia amejifunza kua watu wenye kipato na elimu hawana familia kubwa au hawana kabisa tofauti na watu masikini. Akasema amegundua kua na familia kubwa mapema kumemrudisha nyuma sana na angejua asingeoa mapema, akasema hatakuja kumshauri ndogo wake au mwanae awahi kuoa.

Nikashukuru kua huyo mtu amepata mwanga na inawezekana akawasaidia na wengine kuona mambo kw amtazamo huo.

Ni kweli kua umasikini unachangia sana watu kuwahi kuingia kwenye ndoa maana baada ya balehe hawana cha kufanya, kwa hiyo mtu kwenye late teens au early twenty ana mke na mtoto, ni wachache sana wanafika 30s bila kua na ndoa.

Hata ukiangalia list ya nchi zinazoongoza kwa kuzaana duniani, utaona nchi 50 zinazoongoza ni nchi masikini.

List of sovereign states and dependencies by total fertility rate - Wikipedia

Hii ina maana, ceteris paribus.

Kuoa mapema = kukosa elimu= kuzaa mapema = watoto wengi wasio na mustakabali wa elimu= umasikini
=Rudia kitu hicho hicho kwa kizazi kinachofuata kwa umasikini zaidi
= Vicious cycle of povery
 
Unataka kumaanisha kua Jay-Z ambae amepata mtoto wake wa kwanza akiwa 44 na wa pili juzi akiwa 47 hatakuja kucheza na wajukuu zake?

Lakini pia mstari wa mwisho kwenye bandiko lako unakinzana na bandiko lako lote.
Yaani ule ni mtazamo wangu tu maisha haya na formula. Wewe hata kama science na tech za unyamwezini ziko advance JZ akifika 67 ndiyo kwanza map acha wana 20. Huyo ni babu. Alafu unajua tabia za teenagers zinavyosumbua sasa mzee wa 67 anarudiwa asubuhi watoto wanetoka club. Ni pressure tupu.
 
Kwani kuoa kuna umri maalum
Yes, ukioa una zaidi ya miaka 40 mpaka mtoto aanze shule ya msingi na kumaliza baba utakuwa na umri gani? Kama si zaidi ya 60,si itakuwa babu na mjukuu?sio baba na mwana! Kuoa mapema muhimu, wakati unawaza kuzaa na kulea wenzako watakuwa wamemaliza na kizazi kunyauka/kusinyaa,ila kula raha wataendelea,sio kuwaza kuzaa.
 
Back
Top Bottom