Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Kazi ipi alifanya Magufuli? Kupora uchaguzi wa mitaa na uchaguzi mkuu?Kazi zake na matokeo ya hizo kazi! Ndo inamfanya aseme hivyo. Sasa kikwete ajengewe ndege inayoenda angani na kusema rais wa angani au?? JPM amepiga kazi ndugu! Kama alikutumbua! Pole kwa hilo. Na hauna haja ya kulaumu! ni vyema ukaangalia ni wapi ulikosea.