Kazi ipi alifanya Magufuli? Kupora uchaguzi wa mitaa na uchaguzi mkuu?Kazi zake na matokeo ya hizo kazi! Ndo inamfanya aseme hivyo. Sasa kikwete ajengewe ndege inayoenda angani na kusema rais wa angani au?? JPM amepiga kazi ndugu! Kama alikutumbua! Pole kwa hilo. Na hauna haja ya kulaumu! ni vyema ukaangalia ni wapi ulikosea.
Sawa mkuu.Baadhi yao .mimi nawafahamu wakristo baadhi wenye utu sana.tusiwajumuishe wote .
Kila awamu imefanya mambo makubwa!Kazi zake na matokeo ya hizo kazi! Ndo inamfanya aseme hivyo. Sasa kikwete ajengewe ndege inayoenda angani na kusema rais wa angani au?? JPM amepiga kazi ndugu! Kama alikutumbua! Pole kwa hilo. Na hauna haja ya kulaumu! ni vyema ukaangalia ni wapi ulikosea.
wakati huo waliofanya hivyo washakuwa majivuHuo mnara ukijengwa Mbeya, kesho yake asubuhi watakuta umeshageuzwa kuwa kuni
Bado mnajivunia kuua watu? Nikisema @ccm ni CHAMA CHA MAZEZETA hakika huwa niko sahihiwakati huo waliofanya hivyo washakuwa majivu
Mjenge sanamu ya kikwete ili kuenzi ufisadi au kushamiri kwa biashara ya madawa ya kulevya? Anayesema ijengwe ni rais mwenyewe au mtu baki kutokana na kile anachofikiria yeye? Usiendekeze udini mtanzania wewe maskini na mwenye umri mdogo.sisi tuliokuwepo toka miaka ya uhuru tunafaham mengi ukiacha wewe dogo wa miaka hii ya tisini mwishoni.Marais wakristu ni wabinafsi sana. Mbona hamna mtu anasema tujenge sanamu ya Kikwete. Hivi hawa watu wamelogwa au ni nini? Huyo magufuli mpora uchaguzi ndiyo wanamwona wa maana
Na nyinyi ndio mliomponza,akajiona Muungu. Kuua,kuteka,bidhaa bei juu,na ufisadi uliofuchwa,Kazi zake na matokeo ya hizo kazi! Ndo inamfanya aseme hivyo. Sasa kikwete ajengewe ndege inayoenda angani na kusema rais wa angani au?? JPM amepiga kazi ndugu! Kama alikutumbua! Pole kwa hilo. Na hauna haja ya kulaumu! ni vyema ukaangalia ni wapi ulikosea.