pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Mbunge wa Nakuru Town East Mheshimiwa David Gikaria ndani ya selo baada ya kumzaba afisa wa Kenya Police(OCS, Bondeni PS) kofi la mwendokasi. 😀😀😀 Stay strong Comrade, stay strong! [emoji38]
Muda sio mrefu wataanza kukushobokea wakikuletea maharage ya bure.