Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shetani hawezi kuwa Mungu lakini anaweza kuwa munguView attachment 1324192
Awasalimie Azory, Ben, Mawazo na wengine waliotoweka kwa maagizo ya "Mungu" . Amtayarishie makao yule "Mungu" wetu.
Ahukumiwe kwa haki!
nategemea kugombea hilo jimbo ndio home
Hmm!, kuna jamaa alinambia lazima mwaka huu wabunge kadhaa watakufa sasa naona utabiri unakua
Sent using Jamii Forums mobile app
ccm wameanziana sasa.Mbunge wa Newala vijijini, AJALI RASHIDI AKBAR amekutwa amefariki katika gesti ya Mingoyo - Mnazi Mmoja - Lindi, inaelezwa kuwa yeye ndio mmiliki wa gesti hiyo mpaka sasa bado chanzo cha kifo chake hakijafahamika na mwili wake umepelekwa hospitali ya Sokoine kwa uchunguzi.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameeleza kusikitishwa kwa taarifa za kifo cha Mbunge wa Newala Vijijini, Rashid Akbar, kilichotokea leo Januari 15, 2020 mkoani Lindi, na kueleza ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia watatoa taarifa ya mazishi ya Mbunge huyo.
Wakati akiwa hai akichangia mjadala Bungeni
View attachment 1324208
Angkuwa wa upande ule tungeskia mengi sana,all in all may his soul RIP.
Sent using Jamii Forums mobile app