Mbunge wa Ngorongoro bado anashikiliwa na Polisi. Anahojiwa kuhusu Waandishi wa habari kupigwa

Mbunge wa Ngorongoro bado anashikiliwa na Polisi. Anahojiwa kuhusu Waandishi wa habari kupigwa

Watanzania hawajaridhika na mkataba wa Bandari yake Salama. Serikali isione aibu kuachana na Waarabu.

Tunaposema Bandari Imegawiwa, maana yake Imegawiwa, tena bure. Wadau wanaodai kuwa kuna rushwa zinanuka kwa kugawiwa Bandari zetu kwa wajomba, maana yake Rushwa inanuka.

Hivi vijisababu na hoja mbovu mbovu walizozitoa na wanazoendelea kuzitoa baada ya kushurutishwa kuhusu mkataba huu, havina maana yeyote ile. Ni uwongo kutaka kuhalilisha Udhalimu na Ufisadi unaotumika kumleta Mwarabu kuja kututawala.

Pinga udhalimu, maangamizo, Ukoloni mamboleo na ufisadi unaofanywa dhidi ya Watanzania,Watanganyika na Wamasai wa Taifa hili kwa nguvu zako zote. Wakemee Vibaraka wote wa Waarabu.
 
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.
 
Habari kutoka Ngorongoro ni kwamba Mbunge wa Jimbo hilo, Emanuel Ole Shangai amechukuliwa na wasiojulikana.

Habari ni kwamba amepakiwa kwenye gari jeusi na kutokomea naye kusiko julikana.
Vyanzo vya habari zinasema alikuwa akitokea mjini arusha alivyofika karibia na mji wa karatu eneo la rhotia ilikuja gari nyeusi iliyo waovateki ikaenda mbele ikawablock wakamshusha wakampakiza kwenye gari yao wakaondoka naye.hadi sasa hajulikani alipo

Pia soma: Mbunge wa Ngorongoro (CCM): Maisha yangu yapo hatarini
Siwezi kutetea mbunge wa CCM hana msaada wowote kwa jamii
 
Watanzania hawajaridhika na mkataba wa Bandari yake Salama. Serikali isione aibu kuachana na Waarabu.

Tunaposema Bandari Imegawiwa, maana yake Imegawiwa, tena bure. Wadau wanaodai kuwa kuna rushwa zinanuka kwa kugawiwa Bandari zetu kwa wajomba, maana yake Rushwa inanuka.

Hivi vijisababu na hoja mbovu mbovu walizozitoa na wanazoendelea kuzitoa baada ya kushurutishwa kuhusu mkataba huu, havina maana yeyote ile. Ni uwongo kutaka kuhalilisha Udhalimu na Ufisadi unaotumika kumleta Mwarabu kuja kututawala.

Pinga udhalimu, maangamizo, Ukoloni mamboleo na ufisadi unaofanywa dhidi ya Watanzania,Watanganyika na Wamasai wa Taifa hili kwa nguvu zako zote. Wakemee Vibaraka wote wa Waarabu.
Hatari sn
 
Habari kutoka Ngorongoro ni kwamba Mbunge wa Jimbo hilo, Emanuel Ole Shangai amechukuliwa na wasiojulikana.

Habari ni kwamba amepakiwa kwenye gari jeusi na kutokomea naye kusiko julikana.
Vyanzo vya habari zinasema alikuwa akitokea mjini arusha alivyofika karibia na mji wa karatu eneo la rhotia ilikuja gari nyeusi iliyo waovateki ikaenda mbele ikawablock wakamshusha wakampakiza kwenye gari yao wakaondoka naye.hadi sasa hajulikani alipo

Pia soma: Mbunge wa Ngorongoro (CCM): Maisha yangu yapo hatarini
Kwa nini aliwakata waandishi wa habari mapanga Kwa kutumia Vijana? Huyu Apewe discipline
 
Samia unataka ardhi ya ngorongoro uwazawadie waarabu ili wajenge misikiti na kufanya ujangili
 
Habari kutoka Ngorongoro ni kwamba Mbunge wa Jimbo hilo, Emanuel Ole Shangai amechukuliwa na wasiojulikana.

Habari ni kwamba amepakiwa kwenye gari jeusi na kutokomea naye kusiko julikana.
Vyanzo vya habari zinasema alikuwa akitokea mjini arusha alivyofika karibia na mji wa karatu eneo la rhotia ilikuja gari nyeusi iliyo waovateki ikaenda mbele ikawablock wakamshusha wakampakiza kwenye gari yao wakaondoka naye.hadi sasa hajulikani alipo

Pia soma: Mbunge wa Ngorongoro (CCM): Maisha yangu yapo hatarini
Mama yuko kazini
 
Jamii check be like

"KWELI MBUNGE WA NGORONGORO HAJULIKANI ALIPO"
 
kama ni wa sisiemu gaina shida watamrudisha fu
 
Amwambie na mwenzake mruka sarakasi tunamsaka pia. Acha nae aonje joto walikuwa wanafurahia wenzao kuumia leo wanatia huruma za nini
 
Ukishaona hali kama hiyo ilitakiwa awe anatembea na convoy full loaded ,kitendo cha kublockiwa ilitakiwa vyuma vilie hapo.
 
Tunapoikataa ccm na kuukataa mkataba wa kinyonyaji, faida yake ni hadi kwa mamburula wa ccm wanaosema, DPWORD chukua yoteyote
 
Hawa waarabu sijui wametoa zawadi gani ambayo haijawahi kuonekana Tanganyika ?!.

Nasema sijui !!
Kuna watu wamepewa mahela, majumba, magari, n.k Na wote wamefanyiwa kisomo na kupewa masharti.
Ukizingua wanakuzingua! Kuna kulizwa, kuuliwa na kufilisiwa!
Wanaamua wenyewe!
 
Back
Top Bottom