Mbunge wa Singida Kaskazini, Ramadhani Ighondu aendeleza mkakati wa kunusuru Elimu jimboni

Mbunge wa Singida Kaskazini, Ramadhani Ighondu aendeleza mkakati wa kunusuru Elimu jimboni

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.

Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
IMG-20201219-WA0107.jpg
 
Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.

Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
Hicho kicheko na tabasamu utadhani mwema kumbe jambazi kuu muasisi wa tekateka ya watu wasiojulikana ndie alitaka kumuua Dr ulimboka Mungu akamnusuru.
 
Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.

Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
TISSccm wa nchi hii ni takataka kabisa mavi ya bata
 
nimeogopa. pole sana Dr.Uli
Yaani mhalifu wa uhai wa mwanadamu anapewa na ubunge tena, ndio zawadi ya udhalimu wake. Halafu Pascal Mayalla anaendelea kuamini kuwa karma inafanya kazi.
Kama malipo ni hapahapa duniani, mbona wahalifu wengi hupewa mema zaidi na nature ukilinganisha na udhalimu wao?
 
Yaani mhalifu wa uhai wa mwanadamu anapewa na ubunge tena, ndio zawadi ya udhalimu wake. Halafu Pascal Mayalla anaendelea kuamini kuwa karma inafanya kazi.
Kama malipo ni hapahapa duniani, mbona wahalifu wengi hupewa mema zaidi na nature ukilinganisha na udhalimu wao?
Mkuu Bujibuji , ukiona hivyo, ujue ni moja kati ya mambo matatu haya.
1. In line of Duty.
Kama wewe ni police, TISS or mwanajeshi, ukifanya ubaya wowote, in a line of duty, huko ni kutimiza wajibu wako, then karma ya yule aliyeuliwa is not upon you, it's upon whoever gave the order!.
2. Ukifanya ubaya kwa kusingiziwa tuu, then there will be no karma payback.
3. Inawezekana muda wa karma payback time yake, haujafika, ila karma haina mswalie Mtume!. Ila pia karma payback time is not determined unaweza kutenda uovu leo, ukalipwa after 50 years ile siku unashushwa 6ft under!. Ila pia sometimes, karma it's not fair, unaweza kufanya maovu na ukaendelea kubarikiwa kama naniliu, halafu watoto wako na watoto wa watoto wako ndio wakaja kufidia kwa ku suffer. And sometimes karma doesn't hit back if you settle the scores kabla, yaani unafanya uovu, halafu ukifanya wema mkubwa maradufu ya ule uovu, unakuwa ume I reverse karma hit back, inafutika!.
P
 
Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.

Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
Ajabu Sana. mtekaji, mtesaji, muuaji.. kuwa mbunge, MWAKILISHI wa watu!!! Wizi wa kura noma🙄
 
Back
Top Bottom