Mbunge wa Singida Kaskazini, Ramadhani Ighondu aendeleza mkakati wa kunusuru Elimu jimboni

Mbunge wa Singida Kaskazini, Ramadhani Ighondu aendeleza mkakati wa kunusuru Elimu jimboni

Hiki kifisi hakielewi usalama akabahatika kuwekwa kule akili matope akajua ukiwa kule kazi moja tu nikutesa binadamu kuwadhuru binadamu wenye fikra tofauti na watawala. Kipumbavu kishenzi ashukuru uchaguzi ulivyoendeshwa kidhambi dhambi , hatakiwi kuongoza jamii yoyote hata familia yake kwa vitendo alivyoonyesha. Anafikiri watu wajinga siku zote kote unapokuwa watu wanafahamu ujinga uliokuwa nao. Ila kizazi chako kipo Mungu akisaidie
 
Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.

Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
Huyu ramadhani si ndo enzi za kina Dr Ulimboka namba yake ilitrend sana? Kumbe kahamia ubunge!
 
Mkuu Bujibuji , ukiona hivyo, ujue alisingiziwa tuu, karma haina mswalie Mtume!. Ila pia karma payback time is not determined unaweza kutenda uovu leo, ukalipwa after 50 years ile siku unashushwa 6ft under!. Ila pia sometimes, karma it's not fair, unaweza kufanya maovu na ukaendelea kubarikiwa kama naniliu, halafu watoto wako na watoto wa watoto wako ndio wakaja kufidia kwa ku suffer. And sometimes karma doesn't hit back if you settle the scores kabla, yaani unafanya uovu, halafu ukifanya wema mkubwa maradufu ya ule uovu, unakuwa ume I reverse karma hit back, inafutika!.
P
Hiyo karma Ni fake ideology tu, katika Jambo lolote Toba ya kweli Ni kwa muhusika aliyetendwa, ukimtendea mtu mtu akafa utaenda tubu wapi ku reverse hiyo dhambi?
 
huyu ndio yule aliyekuwa afisa usalama(Tiss) aliyekuwa anafanya kazi ikulu kipindi cha Jk na alihusishwa na sakata la kumteka dr. Ulimboka.

Nb: ukishatuhumiwa tu unapoteza imani kwenye jamii yako(simuamini hata kidogo)
 
Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.

Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
TISsS = CCM
 
Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.

Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
Ila Binadamu tu Wanafiq sana, watu wanajua kabisa Jamaa ni tekaji na uaji ila wanajichkesha nalo kwa Kujipendekeza
 
Hiyo karma Ni fake ideology tu, katika Jambo lolote Toba ya kweli Ni kwa muhusika aliyetendwa, ukimtendea mtu mtu akafa utaenda tubu wapi ku reverse hiyo dhambi?
Mkuu signale, mambo ya karma ni mambo ya ulimwengu wa roho na sio ulimwengu wa mwili, kwenye ulimwengu wa roho hakuna kufa!. Kinachokufa ni mwili tuu, roho, haifi, hivyo ukifanya jambo la kustahili karma, hata mtu akifa, karma ya kifo chake lazima itafidiwa tuu.

Kama wewe ni police, TISS or mwanajeshi, ukiua in a line of duty, huko ni kutimiza wajibu wako, the karma ya yule aliyeuliwa is not upon you, it's upon whoever gave the order!.

Ukiua mtu mmoja, halafu ukaokoa maisha ya watu wawili by saving life ya watu wawili ambao walikuwa wauwawe, in so doing, unakuwa ume reverse ile bad karma ya kifo kimoja.

P
 
Ni Tanzania ya siku hizi mhalifu anakuwa Mheshimiwa.
 
Back
Top Bottom