Huyu ramadhani si ndo enzi za kina Dr Ulimboka namba yake ilitrend sana? Kumbe kahamia ubunge!Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.
Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
Hiyo karma Ni fake ideology tu, katika Jambo lolote Toba ya kweli Ni kwa muhusika aliyetendwa, ukimtendea mtu mtu akafa utaenda tubu wapi ku reverse hiyo dhambi?Mkuu Bujibuji , ukiona hivyo, ujue alisingiziwa tuu, karma haina mswalie Mtume!. Ila pia karma payback time is not determined unaweza kutenda uovu leo, ukalipwa after 50 years ile siku unashushwa 6ft under!. Ila pia sometimes, karma it's not fair, unaweza kufanya maovu na ukaendelea kubarikiwa kama naniliu, halafu watoto wako na watoto wa watoto wako ndio wakaja kufidia kwa ku suffer. And sometimes karma doesn't hit back if you settle the scores kabla, yaani unafanya uovu, halafu ukifanya wema mkubwa maradufu ya ule uovu, unakuwa ume I reverse karma hit back, inafutika!.
PThe Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!
Wanabodi, Sio mara moja au mbili, umewahi kusikia mtu akitendewa jambo baya, anasema "namwachia Mungu!", au neno "Malipo ni hapa hapa duniani!". likitokea jambo zuri lolote watu hufurahi na kumshukuru Mungu, au likitokea jambo baya lolote, watu hufarijiana kuwa kusema hiyo ni "kazi ya Mungu!'...www.jamiiforums.com
Elimu ya kung'olewa watu kucha bila ganzi?
TISsS = CCMMbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.
Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
Ila Binadamu tu Wanafiq sana, watu wanajua kabisa Jamaa ni tekaji na uaji ila wanajichkesha nalo kwa KujipendekezaMbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.
Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
Hahaha...hivi nyie watu hamchoki tu!!?Elimu ya kung'olewa watu kucha bila ganzi?
Mkuu signale, mambo ya karma ni mambo ya ulimwengu wa roho na sio ulimwengu wa mwili, kwenye ulimwengu wa roho hakuna kufa!. Kinachokufa ni mwili tuu, roho, haifi, hivyo ukifanya jambo la kustahili karma, hata mtu akifa, karma ya kifo chake lazima itafidiwa tuu.Hiyo karma Ni fake ideology tu, katika Jambo lolote Toba ya kweli Ni kwa muhusika aliyetendwa, ukimtendea mtu mtu akafa utaenda tubu wapi ku reverse hiyo dhambi?
Asiyejulikana hatimaye kajulikana????!!!!!Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.
Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
View attachment 1654563yejulikana hat
Ndi gwa manyafu bhise bhangole bhakete u motoKalumbu hela ya dhamana unayo? [emoji23]
Killer.Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe Ramadhan Ighondo aendeleza mkakati wa kuinua elimu jimboni mwake. Amewaasa vijana kusoma kwa bidii ili kua chachu ya mabadiliko kwenye jamii.
Kwa habari video picha ungana nami Mahanju.........
View attachment 1654563View attachment 1654564
NoumaElimu ya kung'olewa watu kucha bila ganzi?
πππππElimu ya kung'olewa watu kucha bila ganzi?