#COVID19 Mbunge wa Sumbawanga Mjini, Aesh Hillary awaongoza Wananchi kupata chanjo ya COVID-19

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
969
Reaction score
1,055
Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini Mhe. Aesh Hillary leo ameshiriki na kuwaongoza wananchi mbalimbali waliojitokeza kupata Chanjo ya Uviko 19 katika Viwanja vya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa.

"Leo Nimetimiza Wajibu kwa Kupata Chanjo"

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…