Pre GE2025 Mbunge wa Temeke Dorothy Kilave ni ushahidi tosha kuwa Tundu Lissu alikuwa sahihi kuhusu sakata la Wabunge wa Viti Maalum

Pre GE2025 Mbunge wa Temeke Dorothy Kilave ni ushahidi tosha kuwa Tundu Lissu alikuwa sahihi kuhusu sakata la Wabunge wa Viti Maalum

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

McLaren

Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
53
Reaction score
78
Wakuu,

Leo nilikuwa naangalia wasifu wa Mbunge wa Temeke, Dorothy Kilave na itoshe kusema kuwa Lissu alikuwa sahihi kabisa kuhusu hawa wabunge wa viti maalum.

Huyu Dorothy Kilave yeye alikuwa ni diwani wa viti maalum kupitia CCM mwaka 2011 hadi mwaka 2015. From there akashika nafasi tofauti tofauti ikiwemo kuwa Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar Es Salaam, nafasi aliyoishika kuanzia mwaka 2017.

Soma pia: CCM kutangaza utaratibu mpya ubunge viti maalum. Hoja za Lissu zimeanza kuwaingia?

1741265387457.jpeg


Miaka 3 baadae akagombea Ubunge na kushinda kwa kura 192756 according to NEC

Nataka kusema nini?

Kama Kilave alikuwa ni diwani wa viti maalum tena alihudumu kwa muhula 1 tu, inashindikana nini kwa hawa wabunge wa viti maalum na wenyewe kukaa muhula 1 tu bungeni kisha kwenda kugombea huko majimboni kama wabunge wa kawaida?

Lissu alikuwa sahihi kabisa. Viti maalum lazima viwe na ukomo. Ukishahudumu mhula mmoja tayari unakuwa exprienced enough kugombea kama mbunge wa kawaida.
 
Wakuu,

Leo nilikuwa naangalia wasifu wa Mbunge wa Temeke, Dorothy Kilave na itoshe kusema kuwa Lissu alikuwa sahihi kabisa kuhusu hawa wabunge wa viti maalum.

Huyu Dorothy Kilave yeye alikuwa ni diwani wa viti maalum kupitia CCM mwaka 2011 hadi mwaka 2015. From there akashika nafasi tofauti tofauti ikiwemo kuwa Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar Es Salaam, nafasi aliyoishika kuanzia mwaka 2017.

Soma pia: CCM kutangaza utaratibu mpya ubunge viti maalum. Hoja za Lissu zimeanza kuwaingia?

View attachment 3261273

Miaka 3 baadae akagombea Ubunge na kushinda kwa kura 192756 according to NEC

Nataka kusema nini?

Kama Kilave alikuwa ni diwani wa viti maalum tena alihudumu kwa muhula 1 tu, inashindikana nini kwa hawa wabunge wa viti maalum na wenyewe kukaa muhula 1 tu bungeni kisha kwenda kugombea huko majimboni kama wabunge wa kawaida?

Lissu alikuwa sahihi kabisa. Viti maalum lazima viwe na ukomo. Ukishahudumu mhula mmoja tayari unakuwa exprienced enough kugombea kama mbunge wa kawaida.

Pia usisasahu kuwa wananchi wa TEMEKE wanamsuburi kwa hasira Kali sana kwakuwa tangia 2020 hajawahi kuonekana jimboni TEMEKE.
 
Pia usisasahu kuwa wananchi wa TEMEKE wanamsuburi kwa hasira Kali sana kwakuwa tangia 2020 hajawahi kuonekana jimboni TEMEKE.

Mbona kwenye Instagram inaonekana sana anafanya mikutano akiwa huko Temeke?

Au ni PR hiyo mkuu?
 
Wakuu,

Leo nilikuwa naangalia wasifu wa Mbunge wa Temeke, Dorothy Kilave na itoshe kusema kuwa Lissu alikuwa sahihi kabisa kuhusu hawa wabunge wa viti maalum.

Huyu Dorothy Kilave yeye alikuwa ni diwani wa viti maalum kupitia CCM mwaka 2011 hadi mwaka 2015. From there akashika nafasi tofauti tofauti ikiwemo kuwa Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar Es Salaam, nafasi aliyoishika kuanzia mwaka 2017.

Soma pia: CCM kutangaza utaratibu mpya ubunge viti maalum. Hoja za Lissu zimeanza kuwaingia?

View attachment 3261273

Miaka 3 baadae akagombea Ubunge na kushinda kwa kura 192756 according to NEC

Nataka kusema nini?

Kama Kilave alikuwa ni diwani wa viti maalum tena alihudumu kwa muhula 1 tu, inashindikana nini kwa hawa wabunge wa viti maalum na wenyewe kukaa muhula 1 tu bungeni kisha kwenda kugombea huko majimboni kama wabunge wa kawaida?

Lissu alikuwa sahihi kabisa. Viti maalum lazima viwe na ukomo. Ukishahudumu mhula mmoja tayari unakuwa exprienced enough kugombea kama mbunge wa kawaida.
poa
 
Wakuu,

Leo nilikuwa naangalia wasifu wa Mbunge wa Temeke, Dorothy Kilave na itoshe kusema kuwa Lissu alikuwa sahihi kabisa kuhusu hawa wabunge wa viti maalum.

Huyu Dorothy Kilave yeye alikuwa ni diwani wa viti maalum kupitia CCM mwaka 2011 hadi mwaka 2015. From there akashika nafasi tofauti tofauti ikiwemo kuwa Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar Es Salaam, nafasi aliyoishika kuanzia mwaka 2017.

Soma pia: CCM kutangaza utaratibu mpya ubunge viti maalum. Hoja za Lissu zimeanza kuwaingia?

View attachment 3261273

Miaka 3 baadae akagombea Ubunge na kushinda kwa kura 192756 according to NEC

Nataka kusema nini?

Kama Kilave alikuwa ni diwani wa viti maalum tena alihudumu kwa muhula 1 tu, inashindikana nini kwa hawa wabunge wa viti maalum na wenyewe kukaa muhula 1 tu bungeni kisha kwenda kugombea huko majimboni kama wabunge wa kawaida?

Lissu alikuwa sahihi kabisa. Viti maalum lazima viwe na ukomo. Ukishahudumu mhula mmoja tayari unakuwa exprienced enough kugombea kama mbunge wa kawaida.
Unajua kuwa hata Jakaya Mrisho Kikwete alivyoanza kuwa mbunge alikuwa mbunge wa viti maalum (si wa kuchaguliwa, ilikuwa kupitia moja ya jumuiya za CCM siku hizo kabla ya vyama vingi), akajiongeza kugombea ubunge mpaka akafika unaibu waziri, uwaziri na urais?
 
Back
Top Bottom