Binafsi siwezi kujishusha kiasi hicho, katika vitu ambavyo nilishawahi kugoma hata kipindi nipo shule ni kupigishwa magoti, nilikuwa tayari nipewe adhabu hata ya kuchapwa viboko lakini si kupiga magoti hadharani.Kupiga Magoti na kuogelea kwenye mavi ya kuku kipi Bora? Na Kwa pesa gani? ππ
Hilo ni lako mimi naona hajafanya chochote zaidi ya kuimbiwa nyimbo ambazo yeye hazipendi kuzisikia maana anajua anaingizwa chaka na machawa ili hali ana kazi kubwa mbeleni!Kiufupi anaupiga mwingi sana.
Ujinga ni kudhani Mama anaweza maliza matatizo yenu yaliyowashinda Kwa miaka zaidi ya 60 ndani ya miaka 4.
Sasa chuki zako binafsi Wala hazimzuii Samia kuchanja mbugha.Hilo ni lako mimi naona hajafanya chochote zaidi ya kuimbiwa nyimbo ambazo yeye hazipendi kuzisikia maana anajua anaingizwa chaka na machawa ili hali ana kazi kubwa mbeleni!
Ukiwa na akili timamu na kujaa aibu,na kujiongeza thamani utasikia tu mbunge alipwa milioni 12 .Siasa ndio mchezo wake jitoe akili unufaikeSiasa ngumu sana! Yaani Mwanaume kabisa, tena Mbunge anapiga Magoti ili kuomba kitu! Huko ni kujidhalilisha na kujishusha thamani, Wapiga kura wake lazima wamdharau kwa hilo.
Anashirikiana na makampuni kuwaibia, yaani ni jizi na halifai. Hana ukaribu na wananchi hata kidogo. Kwandika sijui kama hakumtangHapo anawasemea wakulima au anawaibia?
Mbona neno chuki unalipenda sana unaakisi udhaifu wako ulipo dunia hii ukweli unakuweka wazi kuchanganua vitu sio lazima wote wafuate mkumbo wako hata kama unawaingiza chaka!Sasa chuki zako binafsi Wala hazimzuii Samia kuchanja mbugha.
Kwa taarifa Yako tuu hakuna Rais anaweza mfikia Samia kwenye delivery Kwa sekta zozote unazozijua wewe hapa Tanzania Kwa mda miaka 3 hii amekuwa game changer across sectors
View: https://www.instagram.com/p/C14tp1po_de/?igsh=dmdpMmwxOGttcDhk
Kagombee weweAnashirikiana na makampuni kuwaibia, yaani ni jizi na halifai. Hana ukaribu na wananchi hata kidogo. Kwandika sijui kama hakumtang
Wewe ni hater ,wewe huoni unachoandika? Unaona kina uhalisia?Mbona neno chuki unalipenda sana unaakisi udhaifu wako ulipo dunia hii ukweli unakuweka wazi kuchanganua vitu sio lazima wote wafuate mkumbo wako hata kama unawaingiza chaka!
ni kujiaibisha, huyu ni Mbunge kweli ama wale wale feki walipitishwa kwa mkondo wa jiwe. Serikali ndiyo inakusanya kodi na inawajibika kuwapa wananchi wake maji wala si hisani ya Rais.Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani Mkoani Shinyanga amemuangukia Waziri wa Maji Jumaa Aweso akimuomba maji kwani Amesema Wilaya Majimbo yaote ya Mkoa wa Shinyanga yamefikiwa na Mji ya kutoka Ziwa Victoria isipokuwa Jimbo lake.
Unavyocheza uchi nami nivue au sio!Wewe ni hater ,wewe huoni unachoandika? Unaona kina uhalisia?
VuaUnavyocheza uchi nami nivue au sio!
Hizi tabia za viongozi kupiga magoti ni ushamba uliopitiliza. Ni sanaa ya kitoto ya kutafuta huruma ya wananchi..!View attachment 2867038
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani Mkoani Shinyanga amemuangukia Waziri wa Maji Jumaa Aweso akimuomba maji kwani Amesema Wilaya Majimbo yaote ya Mkoa wa Shinyanga yamefikiwa na Mji ya kutoka Ziwa Victoria isipokuwa Jimbo lake.
Akiongea Kwa unyenyekevu, uchungu na masikitiko bwana Cherehani amesema kati ya Kata 15 za Jimbo lake Kata 11 hazina maji hivyo kuwa Changamoto kubwa Kwa Wananchi wake.
Akijibu Maombi hayo Waziri wa Maji Jumaa Aweso amesema tayari Rais Samia amesikia Kilio Cha Wana Ushetu na Serikali Imetoa maelekezo ya kutangazwa tenda haraka ambapo ndani siku 30 mkandarasi atakuwa site kuanza usambazaji wa Maji Kwa Wananchi maji ya uhakika kutoka Ziwa Victoria.
View attachment 2867039
My Take: Kuelekea Uchaguzi tutaona Mengi,wale wote waliopitishwa na Jiwe kama hawakuwa na sifa ndio imekula kwao.
Siwezi kudhalilika, ndio maana tetesi za fomu moja hilo peke yake likufunze,wenye akili washajua habebeki kwa kuwa field ni kugumu!
Mwanaume wa kanda ya ziwa kufanya hivi kwa kweli sijamuelewa.Siasa ngumu sana! Yaani Mwanaume kabisa, tena Mbunge anapiga Magoti ili kuomba kitu! Huko ni kujidhalilisha na kujishusha thamani, Wapiga kura wake lazima wamdharau kwa hilo.
Maboya sana haya .yana wana siasa wa kiume wanavyo nyenyekea ili bidi wavalishwe Madela woteSiasa ngumu sana! Yaani Mwanaume kabisa, tena Mbunge anapiga Magoti ili kuomba kitu! Huko ni kujidhalilisha na kujishusha thamani, Wapiga kura wake lazima wamdharau kwa hilo.
Hater utapata tabu sana.Siwezi kudhalilika, ndio maana tetesi za fomu moja hilo peke yake likufunze,wenye akili washajua habebeki kwa kuwa field ni kugumu!
Mwenyewe kakubali kasema akosolewe ili ajue udhaifu wewe mdudu unaumia imekaaje!Hater utapata tabu sana.
Kazi inaendelea Tabora
View: https://twitter.com/WizarayaUJ/status/1744948114975609251?t=WrxSB5WMgTRJ69lC0TtlTA&s=19
Wewe hater unakosoa au unaoinga maendeleo? ππMwenyewe kakubali kasema akosolewe ili ajue udhaifu wewe mdudu unaumia imekaaje!