Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Salamu wana Jf
Matumaini yangu mama atausoma huu Uzi
Kuna mbunge wa viti Maalumu wa ccm jina kapuni,bungeni ajawahi kutoa hoja za kueleweka,tunaishi nae mtaa mmoja ni mama wa makamo hivi.baada ya kupata ubunge wa kusaidiwa ana dharau Sana hata salamu hatoi tutakutana 2025
Sehemu tulikuwa tunaishi Ina changamoto za barabara hasa kipindi Cha mvua barabara inakuwa chafu Sana.
Baada ya kukaa kikao tukakubaliana kila mtu achangie sh 5000 ili tuweze kurekebisha hiyo barabara sababu serikali ya mtaa ipo tu kimya, ikabidi tupite kila nyumba kwa ajili ya michango tunashukuru wakazi wa eneo lile wengi waelewa,michango ilienda vizuri na wazee wakupinga kwenye maendeleo hawakosi wanasema hiyo ni kazi ya serikali kutengeneza barabara sisi hela hatuna.
Baada ya michango kwenda vizuri tuliwachagua wakazi wa pale baadhi na wazee wa ccm.
wakaongee na mbunge ili hatusaidie nguvu,kwenye maboresho ya barabara Ile.
Kufika kwa mbunge Mana alikuwa likizo shughuli za bunge Amna saizi.
Alitoa majibu ya dharau awezi kutoa hela yake kisa kutengeneza barabara ya mtaa ule kisa tulimchagua diwani wa chadema.
Je ni haki kweri kwa kiongozi wa serikali unaefanya kazi bungeni za wananchi kutoa majibu hayo
Naomba kuwasilishaa...🙏
Matumaini yangu mama atausoma huu Uzi
Kuna mbunge wa viti Maalumu wa ccm jina kapuni,bungeni ajawahi kutoa hoja za kueleweka,tunaishi nae mtaa mmoja ni mama wa makamo hivi.baada ya kupata ubunge wa kusaidiwa ana dharau Sana hata salamu hatoi tutakutana 2025
Sehemu tulikuwa tunaishi Ina changamoto za barabara hasa kipindi Cha mvua barabara inakuwa chafu Sana.
Baada ya kukaa kikao tukakubaliana kila mtu achangie sh 5000 ili tuweze kurekebisha hiyo barabara sababu serikali ya mtaa ipo tu kimya, ikabidi tupite kila nyumba kwa ajili ya michango tunashukuru wakazi wa eneo lile wengi waelewa,michango ilienda vizuri na wazee wakupinga kwenye maendeleo hawakosi wanasema hiyo ni kazi ya serikali kutengeneza barabara sisi hela hatuna.
Baada ya michango kwenda vizuri tuliwachagua wakazi wa pale baadhi na wazee wa ccm.
wakaongee na mbunge ili hatusaidie nguvu,kwenye maboresho ya barabara Ile.
Kufika kwa mbunge Mana alikuwa likizo shughuli za bunge Amna saizi.
Alitoa majibu ya dharau awezi kutoa hela yake kisa kutengeneza barabara ya mtaa ule kisa tulimchagua diwani wa chadema.
Je ni haki kweri kwa kiongozi wa serikali unaefanya kazi bungeni za wananchi kutoa majibu hayo
Naomba kuwasilishaa...🙏