Mbunge wa Viti Maalumu ang'ang'ania Bangi ihalalishwe

Nilikutana na Afisa Mmoja tena mwandamizi..nikashangaa ananambia yule jamaa kipara alikuwa anatumie hichi kilevi.

Sikucomment chochote aisee!
 
Bangi inauzwa Ulaya kama sigara tu huko kwetu afrika bangi ni haramu lohh majangaa kweli.

Your browser is not able to display this video.
 
Bora hata angesema inatumika kwa ajili ya matibabu ya kifafa nk
Ila Hana elimu kabisa ya mmea yeye anajua inavutwa tu mshamba wa kusoma huyo
 

Kweli
 
Sasa Mkuu hapo walikuwa wanajadili mabadiliko ya Sheria ya madawa ya kulevya ndio akatoa hoja yake. Wewe ulitaka azungumzie maji na Elimu kwenye jambo la madawa ya kulevya. Ujuaji mwingi huna lolote inalojua mpuuzi tu
We bwege kilamtu anauhuru kuchangia anachohisi sijaandika makalioni kwako.
Angeacha kuchangia upuuzi asubiri mada muhimu ndio aombe nafasi kuchangia. Muda wabunge tunaulipia so wasikae kutafuta kuwafurahisha ninyi wavutabangi uchwara!!!
 
We bwege kilamtu anauhuru kuchangia anachohisi sijaandika makalioni kwako.
Angeacha kuchangia upuuzi asubiri mada muhimu ndio aombe nafasi kuchangia. Muda wabunge tunaulipia so wasikae kutafuta kuwafurahisha ninyi wavutabangi uchwara!!!
Bhangi za uchochoron zimeshakuharibu ache ziuzwe pharmacy zitakusaidia
 
Bangi iruhusiwe wapiga kura tumechoka kuvuta kwa kujificha ficha huku tukiwasha washa udi, tumechoka.....
 
Wahalalishe tu wengine tuwe wakulima mabilionea .Waache ubinafsi.Huu uzi mzima umechangiwa na wavuta bangi[emoji1787]
 
Kalime wewe na familia yako.
 
Ametumwa na anaowawakilisha au bangi zimemtuma aseme hivyo?
 
Wataitoa wapi kwa kazi maalum ikiwa kila uchwao inafyekwa kwa hiyo watatoa pesa ya wananchi kwenda kununua bangi kwa kazi maalum?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…