Ni Hawa Mwaifunga(Mrs Bananga) ametoa Kali na Siri iliyoko moyoni mwake Kwa Kujitambulisha kwamba ni mwana CCM.ππ
---
Your browser is not able to display this video.
Mbunge wa Viti Maalum, Hawa Mwaifunga ameibua shangwe bungeni jijini Dodoma baada ya kutumia maneno "Wana-CCM wenzangu," katika maelezo yake wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025.
Amesema ametumia maneno hayo kwa sababu moja ya nyenzo ambazo wabunge hupatiwa wanapoingia bungeni ni Ilani ya Chama cha Mapinduzi ili kufuatilia utekelezaji wake.
Chanzo: TBC
My Take
Mbowe na Dr. Slaa na Wapinzani wengi tuu hawajawahi rudisha kadi za CCM, wako Upinzani Kwa maslahi kama kichaka Cha kutafutia vyeo Serikalini na CCM.
Huyo Hawa Mwaifunga hata asingesema ni ccm hilo linafahamika. Kinachombakiza cdm ni huo ubunge wa mchongo. Hata kibenten wake Ali Bananga amesharejea ccm, yeye anasubiri muda tu.
Kwani nini cha ajabu? Yaani tunaifanya siasa kama pumzi kwamba kavuta maji badala ya hewa! Tunakosea mara ngapi hata kuzungumza matusi? This is just Flimsy!
Mod futa uzi mfu kama huu kwani kasema amehama? Bunge mavi tu!
Kwani nini cha ajabu? Yaani tunaifanya siasa kama pumzi kwamba kavuta maji badala ya hewa! Tunakosea mara ngapi hata kuzungumza matusi? This is just Flimsy!
Mod futa uzi mfu kama huu kwani kasema amehama? Bunge mavi tu!
Sidhani kama alichofanya huyo mwanamke ni bahati mbaya, simply wanajua wao kurudi Chadema ni ngumu sana, hivyo wameanza kujiandalia safari ya kule waendako, just a matter of time..
Mbunge wa Viti Maalum, Hawa Mwaifunga ameibua shangwe bungeni jijini Dodoma baada ya kutumia maneno "Wana-CCM wenzangu," katika maelezo yake wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025.
Amesema ametumia maneno hayo kwa sababu moja ya nyenzo ambazo wabunge hupatiwa wanapoingia bungeni ni Ilani ya Chama cha Mapinduzi ili kufuatilia utekelezaji wake.
Chanzo: TBC
My Take
Mbowe na Dr. Slaa na Wapinzani wengi tuu hawajawahi rudisha kadi za CCM, wako Upinzani Kwa maslahi kama kichaka Cha kutafutia vyeo Serikalini na CCM.
Mbunge wa Viti Maalum, Hawa Mwaifunga ameibua shangwe bungeni jijini Dodoma baada ya kutumia maneno "Wana-CCM wenzangu," katika maelezo yake wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025.
Amesema ametumia maneno hayo kwa sababu moja ya nyenzo ambazo wabunge hupatiwa wanapoingia bungeni ni Ilani ya Chama cha Mapinduzi ili kufuatilia utekelezaji wake.
Chanzo: TBC
My Take
Mbowe na Dr. Slaa na Wapinzani wengi tuu hawajawahi rudisha kadi za CCM, wako Upinzani Kwa maslahi kama kichaka Cha kutafutia vyeo Serikalini na CCM.
Kwani nini cha ajabu? Yaani tunaifanya siasa kama pumzi kwamba kavuta maji badala ya hewa! Tunakosea mara ngapi hata kuzungumza matusi? This is just Flimsy!
Mod futa uzi mfu kama huu kwani kasema amehama? Bunge mavi tu!
Huyo Hawa Mwaifunga hata asingesema ni ccm hilo linafahamika. Kinachombakiza cdm ni huo ubunge wa mchongo. Hata kibenten wake Ali Bananga amesharejea ccm, yeye anasubiri muda tu.
Mbunge wa Viti Maalum, Hawa Mwaifunga ameibua shangwe bungeni jijini Dodoma baada ya kutumia maneno "Wana-CCM wenzangu," katika maelezo yake wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025.
Amesema ametumia maneno hayo kwa sababu moja ya nyenzo ambazo wabunge hupatiwa wanapoingia bungeni ni Ilani ya Chama cha Mapinduzi ili kufuatilia utekelezaji wake.
Chanzo: TBC
My Take
Mbowe na Dr. Slaa na Wapinzani wengi tuu hawajawahi rudisha kadi za CCM, wako Upinzani Kwa maslahi kama kichaka Cha kutafutia vyeo Serikalini na CCM.