johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kukosea kupo kwa binadamu yoyote ndio maana sisi Wengine hatukutilia maanani Mbowe aliposema " Wanaccm wenzangu" pale Viwanja Vya Furahisha Mwanza
Naona huyu Mbunge aliyefukuzwa Chadema mh Hawa Mwaifunga anazodolewa pande zote CCM na Chadema
Jamani tuweni Wastaarabu
Baadae mlale Unono 😄🔥
Naona huyu Mbunge aliyefukuzwa Chadema mh Hawa Mwaifunga anazodolewa pande zote CCM na Chadema
Jamani tuweni Wastaarabu
Baadae mlale Unono 😄🔥