Kukosea kupo kwa binadamu yoyote ndio maana sisi Wengine hatukutilia maanani Mbowe aliposema " Wanaccm wenzangu" pale Viwanja Vya Furahisha Mwanza
Naona huyu Mbunge aliyefukuzwa Chadema mh Hawa Mwaifunga anazodolewa pande zote CCM na Chadema
Jamani tuweni Wastaarabu
Baadae mlale Unono ππ₯