nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Na wewe amekunosha eneo gani?Huyu Mbowe amewatonesha wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe amekunosha eneo gani?Huyu Mbowe amewatonesha wengi
Upi mkuu,au wa mbunge kulalamika kivurugiwa ndoa yake na uongozi wa juu wa chadema?Upuuzi unaendelea.
Mbowe alishikwa na wivu labda. Mwamba tuvushe anakiua chama hivi hivi na tabia zake za kiuasherati.....Chadema walitaka aolewe na nani huyu dada?
Money Stop NonsenseCCM wanachekesha sana,baada ya kuona watu wamewashtukia wananunua upinzani wakaamua kuwafanyia shopping NCCR,baada ya watu pia kushtukia NCCR ni mpango wa kando wameamua sasa hivi kuwanunua na kuwahamishia CUF.
Hongera CCM,sasa hivi mmekuwa na wake watatu ,CUF,NCCR na TLP.
CUF ni mke mkubwa wakati wowote yupo hata umtende ,TLP ni mke wa pili,hapendwi ila analazimisha mapenzi ,mke mdogo ni NCCR mageuzi kwa sasa mapenzi yapo on fire
Maskini balozi wetu China kapigwa biti na Marufuku kukanyaga Tanzania tenaMbowe alishikwa na wivu labda. Mwamba tuvushe anakiua chama hivi hivi na tabia zake za kiuasherati.
WAMEHAMIA BAADA YA KUFUKUZWA ,WASIANZE CHOKOCHOKO HUKO CUFView attachment 1463673
Mbunge wa Viti maalumu Kigoma, Sabriana Sungura ameambatana sambamba na aliyekuwa Mbunge wa Bukoba Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Wilfred Rwakatale kuhamia chama cha Wananchi CUF.
Aidha, katika katika shamrashamra za Wabunge hao kupokelewa katika Chama cha CUF, Mh. Sabriana Sungura amesema ameamua kujiunga na chama hicho kwa lengo kupata haki sawa na furaha baada ya kuikosa kwa muda mrefu katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo,CHADEMA.
Amesem, katika chama hakukuwa na haki wala furaha badala yake kilitawaliwa na ubinafsi pamoja umimi.
” Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kimetawaliwa na ubinafsi pamoja na umimi,kwani baada ya kufunga ndoa na mtu anayetoka katika Chama Cha Wananchi CUF nilinuniwa pamoja na kutegwa kwa madai kuwa natoa siri za chama,”amesema Sabrina.
Amesema kuwa, baada ya kuona hayo moja kwa moja kwa imani yake aliona jambo hilo ni la ubinafsi na kuamua kutazama pembeni.
Naye, Makamu Nwenyekiti wa CUF Bara, Maftah Nachuma, amesema chama hicho kimejipanga kuhakikisha kinashika dola pamoja na kurudisha heshima iliyokuwepo awali.
Amesema,ujio wa wabunge hao ni mzuri na umelenga kukifikisha Chama Cha CUF mbali kwa kuhakikisha itikadi ya haki sawa kwa wote inatekelezwa.
“Chama Cha CUF kimezaliwa upya Sasa kwa pamoja tunashiriki na kusimama imara kuhakikisha chama kinasonga mbele,”amesema Nachuma.
PIA SOMA - Wilfred Lwakatare arejea CUF baada ya kufutwa uanachama CHADEMA. Kutumika kuiangamiza CHADEMA
Mbowe alishikwa na wivu labda. Mwamba tuvushe anakiua chama hivi hivi na tabia zake za kiuasherati.
Sasa wote wakufeli ubunge Nani atawasomeshea watoto?,maana uchaguzi huu kwakweli hautabilika,Kuna watu wako na mtimanyongo,wametulia tuli Kama hawapo vileHuyo hakufuata chama kwa hiyari na mvuto bali kamfuata mume wake, kwa kifupi ‘KULINDA NDOA’! Aache kuzunguka mbuyu, simply say the truth and ashame the devil, IQ!
Huyu ni mweupe kbsa viti maalum tu alibebwaAlikuwa wapi toka ameolewa leo ubunge umekoma ndio aje kuongea kala pesa weee kashiba halafu anatafuta fursa mpya wachumia tumbo bwana.
Huyo jiwe ni damu tupu za wananchi WA nchi hii na haijtokeapo kwa awamu zilizopita na hukemei na ushahidi upo WA kutosha. Mbowe awe amefanya hayo mnayomuazia awe hajakamatwa na kufungwa ni serikal yenu. Hebu ukila mda mwengine hayo masikio yapitishie tonge moja moja yapanukee.Tunataka kiongozi mwenye kutetea watu wake nasio kuwanyanyasa kama afanyavyo mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app