Mbunge wa viti maalumu CHADEMA, Sabriana Sungura ahamia CUF

Naona upuuzi unaendelea, hata wakitongozwa huko mtaani watasema Mbowe.

Na wewe mleta mada dhaifu sana.
 
Alikuwa wapi toka ameolewa leo ubunge umekoma ndio aje kuongea kala pesa weee kashiba halafu anatafuta fursa mpya wachumia tumbo bwana.
 
Siko ccm wala chadema lakn tujiulize wote hao wanasema mbowe kawanyanyasa mbona sheria isichukue mkondo wake mpk sasa??? Na huko chadema rijali ni mbowe tu?? maana walijaribu mchafua kwa kula pesa wakaona hailipi wameamua amia kwenye unyanyasaji
 
Money Stop Nonsense
 
WAMEHAMIA BAADA YA KUFUKUZWA ,WASIANZE CHOKOCHOKO HUKO CUF
 
Huyo hakufuata chama kwa hiyari na mvuto bali kamfuata mume wake, kwa kifupi ‘KULINDA NDOA’! Aache kuzunguka mbuyu, simply say the truth and ashame the devil, IQ!
Sasa wote wakufeli ubunge Nani atawasomeshea watoto?,maana uchaguzi huu kwakweli hautabilika,Kuna watu wako na mtimanyongo,wametulia tuli Kama hawapo vile
 
Tunataka kiongozi mwenye kutetea watu wake nasio kuwanyanyasa kama afanyavyo mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jiwe ni damu tupu za wananchi WA nchi hii na haijtokeapo kwa awamu zilizopita na hukemei na ushahidi upo WA kutosha. Mbowe awe amefanya hayo mnayomuazia awe hajakamatwa na kufungwa ni serikal yenu. Hebu ukila mda mwengine hayo masikio yapitishie tonge moja moja yapanukee.
 
Wenye akili kitambo tulisha wadharau Chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…