Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Marehemu muite kwa jina la heshima stahiki!. Bado hajazikwa, mwili utaletwa Tanzania.hivi hicho kizee kilizikwa marekani ama? maana kibongobongo mnavyopenda misiba na selfie hatujaona mitandaoni kabisaaaa
paskali mbona unaleta makasiriko ni kizee ndio kwani unataka tumwite jina gani? kijizi tena kilichuma sana hela zenu kule BOT kimsingi ni kifisadi uchwara nyambaf zake, wakizike hukohuko tu wanataka kuleta huku ili iweje mwenzie balali si walimalizana naye hukohuko?Marehemu muite kwa jina la heshima stahiki!. Bado hajazikwa, mwili utaletwa Tanzania.
P
Poleni sana ndugu zetu 🙏Miss you dad!
Cyber bullying identified!Yes MINOCYCLINE yuko full of data ambazo amezihifadhi, not for public consumption, ila kwetu sisi waandishi, ni vital information.
P
paskali mbona unaleta makasiriko ni kizee ndio kwani unataka tumwite jina gani? kijizi tena kilichuma sana hela zenu kule BOT kimsingi ni kifisadi uchwara nyambaf zake, wakizike hukohuko tu wanataka kuleta huku ili iweje mwenzie balali si walimalizana naye
Its true, lots of cyber bullying, sijui huyu jamaa alijaribu bahati yake kwa Leah, akamtolea nje sasa ndio anamalizia hasira zake hapa!.Cyber bullying identified!
umbwa wee akuonee wivu nani mwana wa fisadi, kwendraaaaa kwani tulikua tunakula kwenu nyambaf na dabo mtajua hamjui, kimsingi zama zenu zimeisha acheni wengine wa enjoy , mlijua mtakula nchi milele, boya weweCyber bullying identified. Jitambulishe basi! Do not hide.
Jealous or envy? He will be remembered for all he has done!
Unajua huyu Uhuru wa kuongea mitandaoni watu wanafikiri ukiamka unaweza kumchafua yoyote, vyovyote upendavyo.Its true, lots of cyber bullying, sijui huyu jamaa alijaribu bahati yake kwa Leah, akamtolea nje sasa ndio anamalizia hasira zake hapa!.
P
Cyber bullying!umbwa wee akuonee wivu nani mwana wa fisadi, kwendraaaaa kwani tulikua tunakula kwenu nyambaf na dabo mtajua hamjui, kimsingi zama zenu zimeisha acheni wengine wa enjoy , mlijua mtakula nchi milele, boya wewe
Automatic cyber bully! Bado sijali kabisa!umbwa wee akuonee wivu nani mwana wa fisadi, kwendraaaaa kwani tulikua tunakula kwenu nyambaf na dabo mtajua hamjui, kimsingi zama zenu zimeisha acheni wengine wa enjoy , mlijua mtakula nchi milele, boya Wewe
Wewe umenyimwa kuenjoy? There is roomumbwa wee akuonee wivu nani mwana wa fisadi, kwendraaaaa kwani tulikua tunakula kwenu nyambaf na dabo mtajua hamjui, kimsingi zama zenu zimeisha acheni wengine wa enjoy , mlijua mtakula nchi milele, boya wewe
[emoji1787]Kingereza cha wapi hiki mkuu!!?
Pole sana kwa msiba wa baba, naomba update ya kinachoendelea.Sio Kililamtu atakupenda! Baba mimi nakupenda sana sana nipo nawewe mpaka mwisho walasijali kabisa. Ulijitahidi sana. BABA I LOVE YOU without any reservations. I will continue to salute you and celebrate you forever.
Mimi mwano.