TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

Marehemu muite kwa jina la heshima stahiki!. Bado hajazikwa, mwili utaletwa Tanzania.
P
paskali mbona unaleta makasiriko ni kizee ndio kwani unataka tumwite jina gani? kijizi tena kilichuma sana hela zenu kule BOT kimsingi ni kifisadi uchwara nyambaf zake, wakizike hukohuko tu wanataka kuleta huku ili iweje mwenzie balali si walimalizana naye hukohuko?
 
paskali mbona unaleta makasiriko ni kizee ndio kwani unataka tumwite jina gani? kijizi tena kilichuma sana hela zenu kule BOT kimsingi ni kifisadi uchwara nyambaf zake, wakizike hukohuko tu wanataka kuleta huku ili iweje mwenzie balali si walimalizana naye


Cyber bullying identified. Jitambulishe basi! Do not hide.
Jealous or envy? He will be remembered for all he has done!
 

Attachments

  • IMG_7798.MOV
    9.4 MB
Upende usipende alijitahidi sana na alipenda inchi yake sana tuu. Sio lazima umpende. Likini wapenzi wake nizaidi na wako. Utawaona tuu! Utashangaa. Labda hata Wewe utajigruza.

Stop the cyber bullying!
 
Cyber bullying identified. Jitambulishe basi! Do not hide.
Jealous or envy? He will be remembered for all he has done!
umbwa wee akuonee wivu nani mwana wa fisadi, kwendraaaaa kwani tulikua tunakula kwenu nyambaf na dabo mtajua hamjui, kimsingi zama zenu zimeisha acheni wengine wa enjoy , mlijua mtakula nchi milele, boya wewe
 
Its true, lots of cyber bullying, sijui huyu jamaa alijaribu bahati yake kwa Leah, akamtolea nje sasa ndio anamalizia hasira zake hapa!.
P
Unajua huyu Uhuru wa kuongea mitandaoni watu wanafikiri ukiamka unaweza kumchafua yoyote, vyovyote upendavyo.

Kwamba Mama Leah na Leah ni hivi na na vile na sijui wanapenda sana pesa.

Mama Leah angekuwa anapenda sana pesa kama tunavyoaminishwa angekuwa ameisha chukua divorce siku nyingi sana na angekuwa bilionea mkubwa tu hadi anakufa.

Lakini hakufanya hivyo, pamoja na changamoto zote bado alikuwa anampenda mwenza wake, watoto wake na familia yake kwa ujumla.

Vivyo hivyo Marehemu Mkono pamoja na mapungufu yake bado alikuwa anapenda mke wake na watoto wake. Ndio maana wameishi pamoja miaka zaidi ya Hamsini.

Watoto wake wote hadi mwisho bado walikuwa wanampenda baba yao. Uzushi wa huyu jamaa unashangaza sana.
 
umbwa wee akuonee wivu nani mwana wa fisadi, kwendraaaaa kwani tulikua tunakula kwenu nyambaf na dabo mtajua hamjui, kimsingi zama zenu zimeisha acheni wengine wa enjoy , mlijua mtakula nchi milele, boya wewe
Cyber bullying!
umbwa wee akuonee wivu nani mwana wa fisadi, kwendraaaaa kwani tulikua tunakula kwenu nyambaf na dabo mtajua hamjui, kimsingi zama zenu zimeisha acheni wengine wa enjoy , mlijua mtakula nchi milele, boya Wewe
Automatic cyber bully! Bado sijali kabisa!
 

Attachments

  • IMG_7798.MOV
    9.4 MB
umbwa wee akuonee wivu nani mwana wa fisadi, kwendraaaaa kwani tulikua tunakula kwenu nyambaf na dabo mtajua hamjui, kimsingi zama zenu zimeisha acheni wengine wa enjoy , mlijua mtakula nchi milele, boya wewe
Wewe umenyimwa kuenjoy? There is room
For everyone to enjoy! I give you permission. There is no limit to enjoy. Have a plan and execute it.
 
Sio Kililamtu atakupenda! Baba mimi nakupenda sana sana nipo nawewe mpaka mwisho walasijali kabisa. Ulijitahidi sana. BABA I LOVE YOU without any reservations. I will continue to salute you and celebrate you forever.
Mimi mwano.
Pole sana kwa msiba wa baba, naomba update ya kinachoendelea.
P
 
Back
Top Bottom