Pre GE2025 Mbunge Waitara abubujikwa machozi ya huzuni; Asema CCM wanamhujumu jimboni

Pre GE2025 Mbunge Waitara abubujikwa machozi ya huzuni; Asema CCM wanamhujumu jimboni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), amewataka wanachama wa chama chake kuacha kumwekea fitna ili apate fursa ya kugombea tena ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao. Akizungumza nje ya viwanja vya Bunge na Jambo TV, Waitara alieleza kuwa fitna hizo zinamwathiri na zinampa ugumu kupambana na mpinzani wake mkuu, John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, anayetarajiwa kuwania nafasi hiyo.

Waitara amesisitiza kuwa anahitaji mazingira ya haki ndani ya chama chake ili kutumia nguvu kupambana na wapinzani kutoka vyama vingine. Amesema vitisho na matukio ya utekaji dhidi ya wafuasi wake ni dalili za siasa chafu, akitaja utekaji wa Mwenyekiti wa CCM Kata ya Itirio, Mhere Magaho, pamoja na kada wengine, Mwita Gati na Marwa Isare, usiku wa Februari 9, 2025.

Waitara amehusisha matukio haya na siasa za ndani ya chama, akidai wafuasi wake wanatishwa kuacha kumuunga mkono.

 
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), amewataka wanachama wa chama chake kuacha kumwekea fitna ili apate fursa ya kugombea tena ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao. Akizungumza nje ya viwanja vya Bunge na Jambo TV, Waitara alieleza kuwa fitna hizo zinamwathiri na zinampa ugumu kupambana na mpinzani wake mkuu, John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, anayetarajiwa kuwania nafasi hiyo.

Waitara amesisitiza kuwa anahitaji mazingira ya haki ndani ya chama chake ili kutumia nguvu kupambana na wapinzani kutoka vyama vingine. Amesema vitisho na matukio ya utekaji dhidi ya wafuasi wake ni dalili za siasa chafu, akitaja utekaji wa Mwenyekiti wa CCM Kata ya Itirio, Mhere Magaho, pamoja na kada wengine, Mwita Gati na Marwa Isare, usiku wa Februari 9, 2025.

Waitara amehusisha matukio haya na siasa za ndani ya chama, akidai wafuasi wake wanatishwa kuacha kumuunga mkono.
MWombe Luca akakupigie kampeni,kulalamika sii dawa.Ila hao waliotekwa wangekuwa wa chama pinzani zingekuwa zinaendelea sherehe kwa webgine hivi sasa.Ila kwa kuwa wenyewe imekuwa nongwa.
 
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), amewataka wanachama wa chama chake kuacha kumwekea fitna ili apate fursa ya kugombea tena ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao. Akizungumza nje ya viwanja vya Bunge na Jambo TV, Waitara alieleza kuwa fitna hizo zinamwathiri na zinampa ugumu kupambana na mpinzani wake mkuu, John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, anayetarajiwa kuwania nafasi hiyo.

Waitara amesisitiza kuwa anahitaji mazingira ya haki ndani ya chama chake ili kutumia nguvu kupambana na wapinzani kutoka vyama vingine. Amesema vitisho na matukio ya utekaji dhidi ya wafuasi wake ni dalili za siasa chafu, akitaja utekaji wa Mwenyekiti wa CCM Kata ya Itirio, Mhere Magaho, pamoja na kada wengine, Mwita Gati na Marwa Isare, usiku wa Februari 9, 2025.

Waitara amehusisha matukio haya na siasa za ndani ya chama, akidai wafuasi wake wanatishwa kuacha kumuunga mkono.
Aaache kulialia !!!........Anywe Bia huku akijua maisha yapo tuu hata nje ya Ubunge !!!
 
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), amewataka wanachama wa chama chake kuacha kumwekea fitna ili apate fursa ya kugombea tena ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao. Akizungumza nje ya viwanja vya Bunge na Jambo TV, Waitara alieleza kuwa fitna hizo zinamwathiri na zinampa ugumu kupambana na mpinzani wake mkuu, John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, anayetarajiwa kuwania nafasi hiyo.

Waitara amesisitiza kuwa anahitaji mazingira ya haki ndani ya chama chake ili kutumia nguvu kupambana na wapinzani kutoka vyama vingine. Amesema vitisho na matukio ya utekaji dhidi ya wafuasi wake ni dalili za siasa chafu, akitaja utekaji wa Mwenyekiti wa CCM Kata ya Itirio, Mhere Magaho, pamoja na kada wengine, Mwita Gati na Marwa Isare, usiku wa Februari 9, 2025.

Waitara amehusisha matukio haya na siasa za ndani ya chama, akidai wafuasi wake wanatishwa kuacha kumuunga mkono.
Alilia tena au alinung'unika tu?Maana ana machozi mengi yamemjaa mwili mzima.
 
1000022341.gif
 
Majimbo ya mara na hasa Tarime ni magumu mno kwa CCM...
Hawezi kushinda..

Huyu jamaa nasikia aliwahi kushindwa na Nyambari Nyangwine wa CCM kwa kura 10 tu.....kilichowaponza Chadema ni malumbano ya wao kwa wao..mmoja wao akatimkia CUF....wakazigawana kura
 
Majimbo ya mara na hasa Tarime ni magumu mno kwa CCM...
Hawezi kushinda..

Huyu jamaa nasikia aliwahi kushindwa na Nyambari Nyangwine wa CCM kwa kura 10 tu.....kilichowaponza Chadema ni malumbano ya wao kwa wao..mmoja wao akatimkia CUF....wakazigawana kura
Safari anywe maji mengi kujiandaa kulia.
 
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), amewataka wanachama wa chama chake kuacha kumwekea fitna ili apate fursa ya kugombea tena ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao. Akizungumza nje ya viwanja vya Bunge na Jambo TV, Waitara alieleza kuwa fitna hizo zinamwathiri na zinampa ugumu kupambana na mpinzani wake mkuu, John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, anayetarajiwa kuwania nafasi hiyo.

Waitara amesisitiza kuwa anahitaji mazingira ya haki ndani ya chama chake ili kutumia nguvu kupambana na wapinzani kutoka vyama vingine. Amesema vitisho na matukio ya utekaji dhidi ya wafuasi wake ni dalili za siasa chafu, akitaja utekaji wa Mwenyekiti wa CCM Kata ya Itirio, Mhere Magaho, pamoja na kada wengine, Mwita Gati na Marwa Isare, usiku wa Februari 9, 2025.

Waitara amehusisha matukio haya na siasa za ndani ya chama, akidai wafuasi wake wanatishwa kuacha kumuunga mkono.
Huyu Waitara anatoka mkoa wa Mara kweli?
Mbona kila siku ni machozi tu...!
 
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), amewataka wanachama wa chama chake kuacha kumwekea fitna ili apate fursa ya kugombea tena ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao. Akizungumza nje ya viwanja vya Bunge na Jambo TV, Waitara alieleza kuwa fitna hizo zinamwathiri na zinampa ugumu kupambana na mpinzani wake mkuu, John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, anayetarajiwa kuwania nafasi hiyo.

Waitara amesisitiza kuwa anahitaji mazingira ya haki ndani ya chama chake ili kutumia nguvu kupambana na wapinzani kutoka vyama vingine. Amesema vitisho na matukio ya utekaji dhidi ya wafuasi wake ni dalili za siasa chafu, akitaja utekaji wa Mwenyekiti wa CCM Kata ya Itirio, Mhere Magaho, pamoja na kada wengine, Mwita Gati na Marwa Isare, usiku wa Februari 9, 2025.

Waitara amehusisha matukio haya na siasa za ndani ya chama, akidai wafuasi wake wanatishwa kuacha kumuunga mkono.

si walishasema aache pombe na unafiki hakupokea ushauri, sasa sisiemu wakimchinjia baharini, hawezi hata kwenda upinzani kwa sababu hauziki, watu wanajua alikuwa anasema ndioo kila kitu. vijana wa ccm siku zote huwa tunawaambia fanyeni kazi kwa ukweli sio kwa unafiki ili hata mkitemwa huko muuzike sehemu zingine. mtu kama mpina unafikiri akitemwa leo mbona anaingia upinzani na atauzika kwa wananchi, sasa waitara akitemwa hizo zigo nani analitaka kwenye chama chake, wananchi watamaindi kwanini mnaleta mali isiyouzika kabisa. apambane tu na hali yake.
 
Back
Top Bottom