MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Atulie dawa iingie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahamiaji wenye sifa za kurudi bungeni ni wachache mno. CCM ifanye kuwachuja na kubaki na wenye akili tu. Mbeleko ya mwendazake ishachanika.Ccm hawakutaki humo ndani
Wewe silaha yako kubwa unatumia jina heche heche kuwapoza ccm
Ova
Nani wa kuwaamini tena hawa watu???Sasa hivi CCM imerudi kwa wenyewe, wakimbizi warudi walikotoka!
DuhWahamiaji wenye sifa za kurudi bungeni ni wachache mno. CCM ifanye kuwachuja na kubaki na wenye akili tu. Mbeleko ya mwendazake ishachanika.
Umenikumbusha Malawi mkuu na hili jina la hi pombe KACHASO..Alikuwa sober kweli alipokuwa analia?
Usikute kachaso ndio ilikuwa inaongea hapo.