Mbunge Waitara Avua Koti na Tai Baada ya Kutoridhishwa na Majibu ya Serikali Kuhusu Fidia ya Wananchi wa North Mara

Mbunge Waitara Avua Koti na Tai Baada ya Kutoridhishwa na Majibu ya Serikali Kuhusu Fidia ya Wananchi wa North Mara

Yaan watu wategeshe mazao na nyumba kwa Lengo la kujipatia Fedha halafu waogopwe
! Yaan wanajua uthamini wa fidia unafanyika wanapanda vitu vipya halafu waogopwe😩😩
Mkeka wa TEGESHA UMECHANIKA
 
Hivi kweli hapa inabidi uwelewa zaidi unataka watu waliotegesha walipwe na unaona ni haki!?
Unataka watu watumie eneo nyeti la asili LENYE vyanzo vya wanyama bila kutafakali MATOKEO ya kuvamia HIFADHI za Taifa!?

Hata hivyo nchi hii Kuna kitu cha kujifunza tunawashangaa wale wa NCHI jirani kwamba wamekuwa brain washed lakini tunasahau kwetu kunaungua mno.
Mgodi wa North Mara ni SHAMBA la Bibi la Wakurya kuanzia watumishi wa Ngazi mbalimbali wa Mgodi,majirani mpaka WAGENI Kutoka Nje ya NCHI kama ni uhujumu uchumi wa kiwango cha lami upo pale na ndiyo maana Leo Mategesha yapo pale na WAHUSIKA Wakuu wa Mategesha ni aibu tupo.
Hiyo BIASHARA ya uchimbaji asilimia 90 ni Wizi na ubadhilifu katika kila eneo la mgodi tatizo hatuna chombo mahususi cha kupambana na uhujumu uchumi wa ENEO HILI
WAKURYA WA TARIME WOTE NI WAHUJUMU UCHUMI sasa WAMEANZA NA KUUA MA DR.
 
Watu wa Tarime wameumiza sana uchumi wa nchi hii kwa wizi wa dhahabu, kuhujumu migodi, kuvusha dhahabu kwenda Kenya, na bidhaa za Kenya kuja Tanzania; kwa ufupi kwa ujumla wao wanastahili kuitwa wahujumu uchumi
Hili eneo lina matatizo sana toka zama na zama.
 
Back
Top Bottom