Mbunge Waitara Avua Koti na Tai Baada ya Kutoridhishwa na Majibu ya Serikali Kuhusu Fidia ya Wananchi wa North Mara

Yaan watu wategeshe mazao na nyumba kwa Lengo la kujipatia Fedha halafu waogopwe
! Yaan wanajua uthamini wa fidia unafanyika wanapanda vitu vipya halafu waogopwe😩😩
Mkeka wa TEGESHA UMECHANIKA
 
WAKURYA WA TARIME WOTE NI WAHUJUMU UCHUMI sasa WAMEANZA NA KUUA MA DR.
 
Watu wa Tarime wameumiza sana uchumi wa nchi hii kwa wizi wa dhahabu, kuhujumu migodi, kuvusha dhahabu kwenda Kenya, na bidhaa za Kenya kuja Tanzania; kwa ufupi kwa ujumla wao wanastahili kuitwa wahujumu uchumi
Hili eneo lina matatizo sana toka zama na zama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…