mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Atawekwa kwenye dust đź—‘ bin !Waitara anajihisi hatia ndani ya moyo wake, anajitaidi sana ili apate kukubalika ndani ya chama lakini wapi.
Waitara tumia vizuri mafao yako maana nina uhakika hautatoboa ktk uchaguzi ujao maana hauna faida yoyote kwa chama chako, jimbo lako na nchi kwa ujumla