Atawekwa kwenye dust 🗑 bin !Waitara anajihisi hatia ndani ya moyo wake, anajitaidi sana ili apate kukubalika ndani ya chama lakini wapi.
Waitara tumia vizuri mafao yako maana nina uhakika hautatoboa ktk uchaguzi ujao maana hauna faida yoyote kwa chama chako, jimbo lako na nchi kwa ujumla
Siyo kwa kutumia akili na maslahi ya wananchi ila kwa kutumia wingi.Kwenye kikao cha bunge cha Februari 1, 2024, mbunge nyangarakasha Mwita Waitara alitamba bungeni mbele ya wabunge wenzake waliokuwa wakimshangilia kuwa wabunge wa CCM watatumia wingi wao kuipitisha miswada ya uchaguzi!
Swali, Tanzania ni mali ya nani, wabunge wengi wa CCM au wachache wananchi? Je, CCM bado inaendelea na "hii nchi ina wenyewe na wenyewe ni CCM"!
Huyu atakuwa anachanganya visungura na bangi ya Tarime.Ulevi haijawahi kumuacha MTU salama.
Hapana, vinginevyo wabunge wote wasingeshangilia.Anakitukanisha Chama Cha CCM na Bunge na dhamira ya Rais, hafai.
Liliharibika sababu sisi ndio tulitaka linaribike. Tusingetaka lisingeliharibika. Sasa hii ya kujitapa kupitisha hata uchafu ni nini sasa?Kwanza hili Bunge wabunge wenyewe ni wa mchongo hivyo hatushangai.
Magu katuharibia sana hii nchi kwa kuua taasisi muhimu kama Bunge.
Anaanza lobbying ili ingalao aje akumbukwe kwenye teuzi kwani ubunge hawezi kupata tenaAnajikomba anajuwa uchaguzi
Unaokuja ccm watamkatilia mbali
Ova
Waitara ame changanyikiwa. 2025 itakuwa.mwisho wa kusikia jina lake.Kwenye kikao cha bunge cha Februari 1, 2024, mbunge nyangarakasha Mwita Waitara alitamba bungeni mbele ya wabunge wenzake waliokuwa wakimshangilia kuwa wabunge wa CCM watatumia wingi wao kuipitisha miswada ya uchaguzi!
Swali, Tanzania ni mali ya nani, wabunge wengi wa CCM au wachache wananchi? Je, CCM bado inaendelea na "hii nchi ina wenyewe na wenyewe ni CCM"!
Utaratibu wa kupiga kura ni ule ule ambao CCM wanaandaa, wanasimamia, wanatangaza mshindi kisha wanamalizia kwa kuhesabu kura!Waitara ame changanyikiwa. 2025 itakuwa.mwisho wa kusikia jina lake.