Pre GE2025 Mbunge Waitara: Tutapitisha miswada yote kwa kutumia wingi wetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Atawekwa kwenye dust 🗑 bin !
 
Siyo kwa kutumia akili na maslahi ya wananchi ila kwa kutumia wingi.
Naona aibu mimi,maana yake watu wanafuata Mkumbo si umuhimu wa hoja.
 
Kwa wale wasiofahamu maana ya "kutumia wingi wetu", ni kuwa miswaada haitajadiliwa bali itapitishwa kama ilivyo.
Bahati mbaya kuna watu ambao hawaoni manufaa ya kuijadili miswaada wao wanadhani ikijadiliwa Chadema watanufaika! Hao ni akina Lucas Mwashambwa.
 
Kwanza hili Bunge wabunge wenyewe ni wa mchongo hivyo hatushangai.

Magu katuharibia sana hii nchi kwa kuua taasisi muhimu kama Bunge.
Liliharibika sababu sisi ndio tulitaka linaribike. Tusingetaka lisingeliharibika. Sasa hii ya kujitapa kupitisha hata uchafu ni nini sasa?
 
Waitara ame changanyikiwa. 2025 itakuwa.mwisho wa kusikia jina lake.
 
Waitara ame changanyikiwa. 2025 itakuwa.mwisho wa kusikia jina lake.
Utaratibu wa kupiga kura ni ule ule ambao CCM wanaandaa, wanasimamia, wanatangaza mshindi kisha wanamalizia kwa kuhesabu kura!
 
Kutokana na wingi wao wamepitisha miswaada yote mitatu bila mjadala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…