Mbunge wako ana sifa ya Uwaziri?

Mbunge wako ana sifa ya Uwaziri?

Mbunge wangu Ni msomi,alifaa kuwa waziri wa katiba na Sheria.

NB:Mapungufu binafsi ya muhusika ambayo hayaendani na taaluma yake,isiwe fimbo kwake
 
Hiyo dhihaka haikusaidii, kwa Sheria ya kazi hiyo ni jinai na hairuhusiwi. Utofauti wa kisiasa usiwafanye kuwa watu wa namna hiyo
Huyo Mbunge 'niliyemlenga' hapa amemshakubebesha nini 'Mimba' yake labda ndiyo maana 'umeumia' sana tu kwa Mimi 'Kumsiliba' hivi hapa JF?
 
Back
Top Bottom