Buji kumuamini Gwajiboy kunahitajika kuwa na moyo wa kiwendawazimu asilimia 1091Halafu Gwajima, twambie, Ulaya na Marekani ulikoahidi kutupeleka tunaendaje bila kuchanjwa? Hupati visa bila uthibitisho wa chanjo, na wewe ulisisitiza tusichanjwe.
Mbuyuni Matakoni Mwa Oysterbay au Mbuyuni mlango wa kuingilia Tegeta?Mbuyuni ya wapi bwashee?
Nimechekaje aiseeee? Alituita Msasani, kamwaga porojo zake weeeeeeee, zote ni impossible. Akagawa na bahasha, nikashukuruBuji kumuamini Gwajiboy kunahitajika kuwa na moyo wa kiwendawazimu asilimia 1091
Blaza kwenye bahasha uliniacha[emoji28]Nimechekaje aiseeee? Alituita Msasani, kamwaga porojo zake weeeeeeee, zote ni impossible. Akagawa na bahasha, nikashukuru
Nchi yenu kitombi haichagui BWANAKwani lazima uende Ulaya? kaa nyumbani kwako. mbona Uaya wanakuja kwetu bila kuchanja?
wapi Alexander LouMAFIA VS NINJA
Hiyo itakuwa ni MISAKO, kwani nasikia maeneo hayo kuna warundi wengi sana, wanafanya biashara zao hapo, kwa kujiita waha!!!ni Tz pekee tu ndipo unapokuta uhamiaji wanafanya kazi zao , huku raia wanawalaumu!!usiombe yakukute huko kwao utatamani hata ardhi ipasuke, kwa kutembea tu bila hati ya kusafiria , wakukamate, hata kama umeisahau tu sehemu ulipofikia!!kwa mtu anayeishi nchini bila kibali sio wa kumuonea huruma hatà kidogo.Mbuyuni ya kuelekea Tegeta kona ya kwenda salasala
Bujibuji Bujibuji ebana eeh umepiga k vant mchana mchana au imekuwaje...habari za kitombi na jua Kali Kama hili Ni kosa kubwaNchi yenu kitombi haichagui BWANA
Kabla hujapayuka unazijuwa uniform za Auxiliary Police?Hiyo itakuwa ni MISAKO, kwani nasikia maeneo hayo kuna warundi wengi sana, wanafanya biashara zao hapo, kwa kujiita waha!!!ni Tz pekee tu ndipo unapokuta uhamiaji wanafanya kazi zao , huku raia wanawalaumu!!usiombe yakukute huko kwao utatamani hata ardhi ipasuke, kwa kutembea tu bila hati ya kusafiria , wakukamate, hata kama umeisahau tu sehemu ulipofikia!!kwa mtu anayeishi nchini bila kibali sio wa kumuonea huruma hatà kidogo.
Mimi Passport tayari nasubili safari ya Marekani tu kwa hisani ya Bishop Rashid.Nimechekaje aiseeee? Alituita Msasani, kamwaga porojo zake weeeeeeee, zote ni impossible. Akagawa na bahasha, nikashukuru
Ukweli mchungu. Kwani msemo shamba la babi una maana gani? Unatofauti gani na nilichokisema?Bujibuji Bujibuji ebana eeh umepiga k vant mchana mchana au imekuwaje...habari za kitombi na jua Kali Kama hili Ni kosa kubwa
Wananchi wamenyang'anywa uhuru wa kufanya shughuli halali sio Mbuyuni pekee hata ndani ndani huko Chasimba, Chatembo, Chachui, machimbo, magereza kote wanawafagia cha ajabu kuna baadhi wametundika bendera za CCM wameachwa!!!!Wakuu jana nilishudia askari wa uhamiaji wakifanya ambush kukamata wafanya biashara wadogo wadogo pale mbuyuni. Picha lilianza baada ya bus moja likiwa na watu walio valia sare za uhamiaji kufika km vile picha ya MAFIA VS NINJA likisdinidkizwa na gari ndogo. Walipofika waliwaweka chini ya ulinzi wafanyabiashara wote huku wakipewa amri ya kupanda bus huku wakiacha biashara zao sadaka kwa watu.
Ushauri kwa mama SAMIA Rais wetu mpendwa hawa ndiyo wapiga kura wako na CCM.
Tunaomba mbunge wetu Gwajima atupe maelezo ya hii kitu km ni sawa.